Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hv kuna chuo chochote kimeingiziwa pesa ya field ya awamu ya pili!!!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nilikuwa nauliza second selection za nacte zinaweza kutoka lini
1 Reactions
3 Replies
681 Views
Nilikuwa naomba namba ya mkuu wa chuo cha St augustine health Collage kilikopo muheza_TANGA
0 Reactions
0 Replies
466 Views
Ndugu wana jamvi baada ya kuwa sisi tuliochaguliwa UDSM kupitia NACTE kutemwa kule kwa kukosa credit tatu za o level. Nacte walitufungulia profile zetu tuchague upya nilifanya hivo lakini mpaka...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani kuna mdogo wangu jana ameona selection amepangiwa St John Bachelor of science in nursing ila yeye anasema aliijaza ya 4. Sasa anadai hataki kusoma Nursing. Vp wakuu kunauwezekano...
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Habar ya wkiend wanajf kwa walewaliopangiwa chuo cha machame tukutane apa kujuzana A BC
0 Reactions
2 Replies
715 Views
Natumaini mu wazima wa afya. Naomba kufahamu hivi selection za TCU hua zinaenda mpaka round ngapi ..? maana wamesema kuna 2 round Je 3 round IPO wakuu????? Nawasilisha
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Wenye kuelewa mambo nisaidien kumsaidia dogo alochaguliwa hapo Changamoto Ugumu Wepesi na total experience kuhusu Udsm LLB Asanteni
3 Reactions
12 Replies
3K Views
wakuu habari zenu,, selections za chuo zimetoka na nkafanikiwa pata bcom in accounting (udsm) ilkua third priority,, maoni yenu kuhusu hii course,, yani in aspects ka its marketable au nimebugi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu wana forum kijana wangu kamaliza f4 anataka kujiunga na nursing certificate level ila hajasoma phisics .mjuzi anijuze kama inawezekana
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Salaam.... wadau naomba yeyote aliyechaguliwa au aliyesoma paradigm college of helathy course yoyote kati ya pharmacy..community healthy...clinical medicine au nursing anichek,,,,,,,0621...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Waliochaguliwa apo naomba tukutane hap kujuzana jnsi ya kupata joining instruction (ordinar diploma in clinical medicine)
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Naona wametoa tangazo la kazi kwa upande wa RITA, na RITA iko ktk utumishi wa umma. Hii ni ishara njema kuhusu kufunguliwa kwa ajira na kupanda kwa madaraja kwa watumishi wa umma. Public Service...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Ndugu wana jf kwa wale waliomba vyuo vya ualimu vya selikari majibu tayari au bado veep kwenye profile zenu?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama title inavosomeka wajamen ....naomba nwajue wenzangu tusaidiane kimawazo na ushauri
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tuliochguliwa dit course ya MULTIMEDIA AND FILM TECHNOLOGY tukutane humu kwa update mbili tatu.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wapendwa nahitaji mtu aliye soma clinical medicine pale St aggrey Mbeya ngazi ya astashahada ani PM tafadhari kunajambo nahitaji kuuliza Tafadhali.Barikiwa utakaye Nisaidia
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Kwenye Hesabu/mathematics kuna Topic kama Matrix may be 2 or 3 by 3 matrix,Linear Programming,Nianze na izo chache Katika shughuli zetu za kila siku matumizi ya topic tajwa apo juu ni zipi? Au...
0 Reactions
66 Replies
12K Views
Wakuu Habari Zenu! Leo Naona Kwenye Profile Yangu Ya TCU wameniandikia Hivi:- "Now Wait for Second Selection which is Expected on 31/08/2016" Sasa Hapa Pamenipa Wasi Wasi Wa Kuhisi Kwamba Katika...
0 Reactions
53 Replies
8K Views
Back
Top Bottom