Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Iv jaman tusaidiane kama kuna walimu walio dahili diploma je wameshapata muafaka wa vyuo hivyo na wsnaenda lini kuriport mm cielewi nimechaguliwa ad nakata tamaa maana hata chuo wanakwambia...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani,salaam hapa,nina jambo Kwa sasa kama wengi mnavyofahamu zoezi la uhakiki limepamba moto. Kama inawezekana bila kuathiri taratibu, tukumbushane majina ya walimu wetu wa shule za msingi na...
0 Reactions
3 Replies
920 Views
Wakuu, Niombe ushauri wenu kuhusiana na kozi ipi yafaa Kati ya Medical Laboratory na Clinical Medicine ngazi ya diploma. Niliomba NACTE wamenipeleka Medical Laboratory ilihali mi nilipenda...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
jamani wadau uhamisho na ajira wanasemaje huko tamise mi
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jaman kuna ndugu yangu kapewa Majibu hayo na nacte....ambacho sielewi ni ivyo alivyoambiwa provisionally selected,what does it mean??? Mbna wengne hawaambiwi Ilo neno provision???
1 Reactions
40 Replies
5K Views
ushauri wa fastar unaitajika f4 fiv comb HGK Vs diploma lab tech
0 Reactions
7 Replies
915 Views
Habari wakuu,kama kuna mtu anajua sehemu wanayofundisha martial arts nzuri ila isiwe SHOTOKAN either TAE KWON DO,JEET KUAN DO, TAI CHI au mwingine wowote naomba ani pm please! shukrani
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Naomba kufahamishwa utaratibu wa chakula chuo cha hombolo Dodoma kwa certificate.
0 Reactions
4 Replies
853 Views
Ingien kwenye profile zenu mtaona
1 Reactions
31 Replies
3K Views
TCU watatoa lini selection jaman? [emoji30] [emoji30]
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani wana JF Habari zenu Sasa naomba kujua kuhusu Chuo cha Bulongwa jinsi kilivyooo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kwa ambao hawajachaguliwa Ile pesa tuloombea wanaturudishia au ndo inakua imekula kwetu nawasilisha mezani
1 Reactions
5 Replies
997 Views
masaada joining instructions ya masasi clinical officers, yaan sina akika kama zmetoka au bado
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba mawasiliano kwa MTU yeyote anayekifahamu chuo cha selikali za mitaa hombolo Dodoma no 0752006344
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Jamani naombeni ushauri kwa wanaojua kati ya hizi kozi mbili ipi ni nzuri zaidi ????
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Asalam aleykum JF Mdogo wangu kachaguliwa BUMBULI cotc ,napenda kujua tarehe ya kuripoti chuoni.Anayejua tafadhari !
0 Reactions
2 Replies
1K Views
diplo za udom ni lini zinatoka , mwenye kujua aseme
0 Reactions
0 Replies
588 Views
Naomba mwenye namba za simu za Mkuu wa chuo cha ualimu sumbawanga anipatie Nina shida nae sana.ASANTE
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Mwanzoni, NACTE waliandika kwenye profile za watu, "kindly u have been selected" lakini kwa mara ingine tena leo wanaandika " kindly u have been provissionally selected to one of the choices...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari Jf. Naomba kufahamu anayesoma Bachelor of Arts in Law Enforcement anafanya kazi gani kwenye soko la Ajira. Nataka niongeze kwenye list yangu wakati nafanya application.
0 Reactions
1 Replies
676 Views
Back
Top Bottom