Habari wanajamii,kuna mtu yeyote katumiwa joining instruction kwenye email au kapigiwa simu,maana hawa nacte mwaka huu dahh wanazengua na muda unazidi kwenda.
Kama umehitimu kidato cha sita PCB, PCM, CBG au PGM nakushauri uchague Bachelor of science in Optometry. Ni program mpya katika chuo cha KCMUCo, Moshi.
Optometry ni eye health care professional...
Wakuu habari zenu,Naomba kuuliza ipi course ya kilimo yenye maslahi zaidi ya kusoma degree kati ya hizi :
1 . Agriculture extension
2 . Horticulture
3 . General agriculture
Naombeni michango yenu...
Mwenye kujua tafadhali kuhusu application za hawa jamaa unafanyaje anisaidie..
Nina mdogo wng anataka kusoma huko...
Mwenye uelewa ani pm anipe msaada pls
Wadau naomba kuuliza vizuri kuhusu chuo cha mati igulusi manake kuna Dogo langu amechaguliwa huko katika fani ya LAND USE, sasa anahitaji kujua zaidi mazingira ya chuo kwasababu hadi sasa...
Sina nia ya kumchafua mwl huyu mwenye asili ya Burundi anaitwa Prudence, ushahidi ninao. Anafundisha PHYSICS na CHEMISTRY form 5 & 6 pale SHINYANGA SEC kwa miaka mingi amekuwa akifelisha maskini...
Habari za mchana??nilikuwa nauliza hii foundation course ya OPEN UNIVERSITY bado ipo?
Kwa sababu nimepata tetesi kuwa hivi sasa hiyo course imeondolewa.
Asanteni nawatakia mchana mwema
Wenye ufahamu na hili,Baadhi ya vitabu wanaeleza kuwa shall inatumika kwa nafsi ya kwanza tu yaani(I & We) mf. I shall.... or We shall......
Lakini naona katika vision au mission za taasisi...
Ndugu wana Jukwaa kwanza nawasalimu wote wakubwa kwa Wadogo.,Mimi nimefanya application tar 10/8/2016 ya kujiunga na diploma chuo kikuu dodoma lakn hadi sasa nikicheki kwa Email yangu hakuna...
Jaman kuulza si ujinga hivi TCU wakishafunga dirisha lao huchukua muda gani kuja kutoa majina ya waliopata chuo kwa round ya kwanza...mwenye mawazo au uzoefu!
Habar wadau wa Jukwaa la Elimu,
Mimi ni mtanzania niko Mwanza hapa, siku chache zilizopita niliapply nchini Canada. Nimetuma application zote na sasa wameniambia niwatumie TOEFL form inayotumika...
Wadau naomba kujua mshahara elekezi uliopitishwa na TCU kwa wahadhiri wa vyuo vikuu. Nasikia kwamba kiwango cha chini kimewekwa kwa vyuo vyote, ni kiasi gani kwa mwezi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.