Niliwahi kusoma diploma ya water supply and sanitation Engineering chuo cha maji na kufanikisha kumaliza mwaka 2013,
Nilikua ni miongoni ya wanafunzi waliochaguliwa direct na serikali kutoka...
THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATIONCENTRAL ADMISSION SYSTEM (CAS)
Home Profile FAQ LogoutDeadline: Thu, Sep 15 2016 11:59 |
Selection Status for Certificate/Diploma and Higher Diploma...
Nacte mpo kimya sana hamtoi updates zozote kuhusu kutoa majina ya wanafunzi ambao wamechaguliwa kujiunga na masomo yao katika mwaka wa masomo 2016/2017 kwa ngazi ya stashahada na cheti, wananchi...
Japo ualimu ni kada duni kuliko zote Tanzania lakini kilicho fanyika TARIME siyo ungwana hata kidogo.
Baadhi ya WALIMU walipewa barua kusimamia mtihani WA mock kidato cha NNE,cha kushangaza kazi...
Nime discontinue (disco) vipi ninaweza omba nafasi na wadogo zang kuanzia tarehe 12 .msaada ndugu zang maana nilipatwa na matatizo nikajikuta nafanya mitihani vibaya
Wana JF, nimeandika Kitabu kizuri cha ECONOMICS Paper 1. Kwa kweli ni kizuri kwa kuwa nimeshaanza kukiuza kwa shule chache na kwa baadhi ya wanafunzi. Wanafunzi wote wamekisifia kwamba ni kizuri...
Habarin za asubuh wakuu, kwa wale walioomba Diploma katika chuo cha maendeleo na uongozi wa elimu (Adem) majina yao yametangazwa katika website ya chuo kwa campus zao za Bagamoyo na Mwanza kama...
nmepewa na password na username nikilog in inakataa inasema
"No Username or Password matched your Entry, Check your Email box for correct Username and Password (Code 1009)"
msaada...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Link Education, Abdumaliki Mollel amesema hayo leo jijini Dar, kuwa vyuo vya nje viko tayari kupokea vijana wenye sifa hizo.
Mollel amesema kuwa vijana...
Habari wanaJF, Nipo kwenye mchakato wa kuongeza huduma nyingine ya kulipia kwa anaehitaji kuongeza mikoa mingi zaidi ya mitano ambayo niliyoiweka ili kupata walimu/waaguzi haraka wa kubadilishana...
Napenda kuchukua fursa hii kuweza kuchangia kile ambacho kinaweza kusaidia kwa namna moja ama nyingine
Kwa wale ambao walikosa first round application napenda kuwapa pole na wasikate tamaa kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.