Ninaomba kusaidiwa mchanganua wa matokeao yafuatayo na uchaguaji wa kazi za chuo.
Form 4, 2009 (Div 3)
Maths C, Physics D, Chemistry C, Biology C, History C, English C, Civics C, Yaliyobaki ni D...
Ndugu zangu wana jf pole na mahangaiko.naomba msaada wenu katika hili naomba kufahamishwa ni vyuo gani vinafundisha kozi za Dental therapy na Optometry kwa ngazi ya cheti hata kama ni vyuo...
Uzi huu ni maalum kwa wale wote ambao tumeapply kozi za afya NACTE. Karibuni tujuzane mambo mbalimbali,ushauri,maswali ya kozi husika n.k.
Karibuni sana wapendwa!!!
Habari wakuu?
Hivi huwa kuna official formula ya kumlipa mwajiriwa Arrears let say ya mwaka mmoja? Kuna muda niliona formula moja inatumiwa na kampuni fulani ila nimesahau. Mwenye uelewa na hili...
Maendeleo ya sayansi na teknolojia bana yanakuja na faida na hasara nyingi pia. Kumekuwa na mada yenye uvutano wa hali ya juu ktk jamii kwamba ADHABU YA VIBOKO INAFAA AU HAIFAI kwa malezi ya...
Kwa wale ambao wamejaribu kuwasiliana na NACTE moja kwa moja kupitia email address(es) pamoja na namba za simu ambazo wameweka mtandaoni kwa ajili ya mawasiliano naombeni uzoefu:
1. Kuna ambaye...
Wakuu, yapo maoni yanayosemwa na weng kuwa sisi wanafunzi wa dunia ya sasa tupo busy sana na social networks ndio maana ufaulu mzuri mashuleni na vyuoni umepotea kabisa. Imedaiwa kwamba wanafunzi...
Hii kozi kwa wataalam unaweza kuajiriwa kama nani au kujiajiri kama nani inatolewa na chuo cha reli tabora ni kozi ya mwaka mmoja je ukimaliza hii unaweza kusoma diploma?
Jaman naomba mnisaidie kwani Kufundisha wakati wa likizo ni lazima coz huku kwetu tumeambiwa FRM 4 hawatakuwa na mapumziko ya wiki moja na walimu watafundisha Bure....
Wakuu habari ya muda huu.
Baada ya mambo kua sio yenyewe zama hizi za mukulu ni wakati muafaka wa mimi kurudi shule.
Tulikua tukishauriwa kurudi shule tukawa tunaona ukirudi shule ukija utakuta...
Ndugu wana jf natumaini ni wazima wa afya mm nimehitimu kidato cha nne mwaka 2015 katika shule moja ya kata iliyopo sana huko mara Tz na nilipata matokeo yafuatayo DIV III 25 CIVICS D GEOGRAPHY D...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.