Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
jamani naombeni masaada wa vyuo vya binafsi na serikali vinavyotoa diploma ya maswala ya aridhi ila ambavyo vipo Morogoro au Dar-es-salaam kwa anaevifahamu tafadhali anisaidie...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Null null null
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu tafadhali aliye na hiyo fee structure anitumie. Naomba msaada.
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Chuo cha ifm kisha anza kutuma sms za kuchaguliwa vp TIA hadi muda huu bado
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu natumaini ni wazima wa afya,naomba kuuliza ipi ni master's degree yenye market sana kati ya hizi? 1.Public health 2.Medical virology 3.Medical entomology & vector control Naombeni michango...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Assalam aleykum.. wana JF nlkua naomba mnijulshe selection hutoka kW mda Gan kW cc wa diploma???
0 Reactions
4 Replies
737 Views
chuo ndo mhimili mkubwa wa taifa lako ,kubadili alama za ufaulu baada ya paper ni moja ya ukatili Unaua huku unacheka (baghdad,2016). mwisho wa kunukuu
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Habar wakuu, Nimechaguliwa St. Joseph, boko jijin Dar.. ila nimeambiwa nitatumiwa joining instructions kwenye email yangu wiki ijayo na Chuo kitafunguliwa yapata mwez wa kumi, Ninaomba kwa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Kama una mpango au nia ya kusomea engineering hasa Tanzania, hizi ndizo programmes zilizo na soko zaidi na future hasa kwa nchi yetu hii!!! Kwa kushirikiana na wadau wengine...
6 Reactions
91 Replies
41K Views
habar wadau wa jamii forum, kama kuna mtu yeyote kapangiwa chuo cha besha au amesomea hapo au anakifahamu tafadhali naomba anipe contact za hicho chuo
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naombeni kujua utaratibu na hatua za kuchukua pale chuo kinapodaili kozi ambazo hazipo au hazijasajiliwa katika chuo hicho. Mf: umedailiwa kozi fulani katika chuo fulani alafu inafika mwisho wa...
1 Reactions
5 Replies
854 Views
Habari zenu wakuu, kuna swali lanitatiza nina mdogo wangu kamaliza certificate ya ualimu mwaka huu ila nasikia eti walimu wote wa msingi wanatakiwa wawe na dipolma, je kuna ukweli wowote juu ya...
0 Reactions
6 Replies
921 Views
Kwa sisi tuyosoma foundation course miaka ya 2010 hatima yetu kwa sasa ikoje?
0 Reactions
2 Replies
756 Views
Chuo kikuu cha Dar es Salaam kampasi ya Nyerere (zamani Mlimani) kiko kwenye mpango maalum wa kuleta swala 50 kama majaribio ya mpango wake mkubwa wa kuweka wanyama katika mazingira yake,mtaalam...
4 Reactions
57 Replies
6K Views
JAMAN NAOMBEN UFAFANUZ WA MATUMIZI YA MANENO HAYA 1-Would 2-Could 3-Shuold
1 Reactions
66 Replies
15K Views
eti mtu mwenye DDE PCB anaweza pata md au nursing degree? eti vandugu ushauri
1 Reactions
70 Replies
8K Views
ivi diploma ya medical lab, pharmacy, clinical medicine na nursing ni ipi ina lipa sana kitaa kwa maslahi ya hela???
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomben msaada wa mtu mwenye number hata za administater ninashida sana kwa anae jua nataka kujiunga wadau
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naombeni msaada anae ielewa vizuri iyo coz ni ya diploma inayotolewa na chuo cha kilimo IGURUSI, ajira yake?
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Back
Top Bottom