Nilikua naangalia taarifa taarifa ya habari ila nimesikitika sana na haya matokeo ya utafiti wa twaweza. Tunaelekea wapi na elimu yetu?
Mtu mpaka anamaliza darasa la saba hajui kusoma kweli...
Kwa masikitiko makubwa naomba ujumbe huu umfikie mkuu wangu wa kaya.kama 13/06/2016 ulisitisha ajira na baadaye 22/06/2016 uliahidi haitazidi miezi miwili.sasa nakukumbusha tunamalizia mwezi wa...
NAOMBENI MNIJUZE HILI.....HIVI KWA MTU WA DIPLOMA KUUNGA DIGRII LEVEL WANAANGALIA OVER ALL YA GPA YA MWAKA WA KWANZA NA OVER ALL GPA MWAKA WA PILI WANAGAWANYA KWA MBILI NDO IPATIKANE 3.5 AU...
KUNA MDOGO WANGU AMECHAGULIWA CHUO CHA TANZANIA INSTITUTE OF RAIL TECHNOLOGY KWENDA KUSOMA KOZI YA SIGNAL AND TELECOMMUNICATION ARTISAN COURSE ,JE AKIMALIZA MASOMO ANAWEZA KUAJIRIWA KAMA...
Kwa wale wanao apply chuo kikuu kupitia TCU/NACTE watakubaliana nami kuwa mfumo kuanzia majuzi bado inaruhusu applications na changes mbalimbali.
Applicants wanazidi kuongezeka ama kupungua...
Habari ya asubuhi wana JF, naombeni msaada wa kujua ni lini fomu za maelekezo ya kujiunga na chuo cha ardhi cha Morogoro zinatoka lini.. Kama kuna yeyote mwenye kufahamu hilo.. maana hadi sasa...
Wanufaika wenzangu...
Hii pesa tutaingiziwa lini tena..?
HESLB(tunajua kwamba huwa mnapita pita humu jukwaani)
TAFADHALI fanyeni utaratibu mtutumie PESA zetu..!
Wakuu ninaomba kwa mwenye soft copy ya bitabu vya masomo yafuatayo anisaidie,na kama pia atakua na hard copy au material yoyote mazuri lakini yupo mkoa wa Dar es salam pia sio mbaya.
1)Procurement...
jamani naombeni msaada nimesoma chuo cha Kampala ngazi ya certificate in public administration nikaomba nacte niendelee na diploma ya kitu kingine yani diploma ya community development Ila...
Habari wana Jf,
Kijana kamaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata div 1 ya PCB.Kwa matokeo haya amefanya application katika chuo cha MUHAS,UDSM,CUHAS na KCMC kwa course ya MD.Sasa kutokana na...
andika neno TCU/NACTE acha nafasi andika namba yako ya o.lvl na mwaka yan username yako tuma kwenda namba 15842 alafu subir baada ya dk tano uone kitakachotokea
HABARI ZENU WANAJF SAMAHANI NAOMBA MSAADA WA KUEDIT GPA KWENYE PROFILE YANGU NILIKOSEA NIKAANDIKA NTA L5 GPA 3.8 BADALA YA 2.9 NDIO MAANA NIMEKOSA POST KUNA WENGINE WAMEAMBIWA GPA ZAO HAZIONEKANI...
HABAR Wa JF niliaply
1 pharmacy st john
2 nursing st john
3 health lab kcmc
4 veterinary medicine sua
5 MD ajuco
Kwa hali ilivyo nitatoboa round ya kwanza???? Nina DBB+ Mwaka jana
NACTE 26/08/2016 wamenitumia text kwenye email kwamba ni upload original certificate na Transcript, mwanzoni nili upload transcript pekee, kwa wataalam hapo niunganishe hizo mbili kwenye pdf moja...
Nilipokuwa napitia Guide book ya Diploma Holder kuna sehemu palikuwa pananihitaji ku-apload Certificate na Transcript ila wakati nafanya application baada ya kujaza chuo nilichosomea diploma, Jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.