Habari wanajukwaa..
Nina mdogo wangu ambae amemaliza certificate ya mipango dodoma. Matokeo yake yametoka na anapenda kusoma ualimu (diploma ya primary )
Je hilo linawezekana?
Shukrani
Habari wanajukwaa. Mimi ni mwalimu wa sekondari ambaye kwa sasa niko likozo ya masomo. Je kuna utaratibu wa mtu aliyeko masomoni kuweza kuhama kituo cha kazi akiwa bado na likizo ya masomo? Nataka...
Nimetumiwa ujumbe na nacte unanitaka ni upload full transcript na diploma certificate japo kua nilivi upload kipindi lile najilegister.na nikitaka ku log in ili kuvi upload naambiwa system...
Habari zenu! Ningependa kuuliza kwa hawa wataalamu na wanaosoma ICT. vyuo accredited by NACTE vinatutaka waombaji tuwe na maamuzi sahihi ya course sababu once umejaza course huwezi kuibadilisha...
Najiuliza hivi no ambazo NACTE mmeziweka kwamba tukiwa na matatizo tupige ni mapambo tu au sio kwa ajili ya kutusaidia sisi?
Haiwezekani nikipiga mara hazipatikani na zikipatikana hazipokelewi...
Wanajamvi naomba kuleta kwenu course hizi >>>> B.S in forestry, B.S in food science and technology, B.S in agricultural and natural resources economics and business, Environmental science, na Wild...
Wanajamvi naomba mwenye uelewa anijuze tofauti kati ya INFORMATION TECHNOLOGY VS INFORMATION COMMUNICATION AND TECHNOLOGY kwa sabababu nashindwa kuzitofautisha.
Pia naomba kuuliza Bachelor of...
Mimi ni mhanga ambae mara ya kwanza NACTE ilipotoa taarifa wanafunzi wa diploma watume maombi kujiunga na shahada kwa vigezo ya GPA 2.7 baada ya kubadilishia gia angani nilijikuta sina sifa ya...
Hivi jamani tuseme hata uhamisho wa watumishi wa umma unahtaji fungu ama vp!? maana uhakiki umeisha na hatuoni dalili wakati wengine tulivyoomba tuliweka commitment kuwa tupo tayari kujigharamia...
Tunapenda kuutangazia Umma kuwa tulifunga mfumo wa pamoja wa udahili tarehe 31/08/2016 saa sita usiku ili kuchakata maombi ya waombaji waliofanikiwa kuomba udahili kwa mwaka wa masomo 2016/2017...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nina rafiki yangu tulikuwa chuo kimoja UDOM.Sasa mwanzoni mwa wiki hii matokeo yametoka na rafiki yangu amedisco.
Sasa mimi kama rafiki yake...
wataalamu wa lugha natumai hamjambo. Naombeni ufafanuzi katika hili kwanini sehemu zinapouzwa ndizi karibu Tanzania nzima zinaitwa Mahakama ya ndizi....mfano
mahakama ya ndizi Morogoro
mahakama ya...
Hali zenu wanajukwaa,
Kwa heshima na taadhima ninaomba kama kuna mwanajukwaa atakayeweza kunisaidia nipate matokeo ya mtihani wa darasa la nne mwaka 2013 kutoka baraza la mitihani, naomba sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.