wadau kuna ule mtihani wa RPL unaomwezesha mtu aliyemaliza la saba,form4 na wengineo ili waweze kujiunga na digri 2016/2017 matokeo yameshatoka kwa waliofanya pepa la education UDOM.
Mh. Rais tunaomba utimize ahadi yako ya baada ya miezi miwili ajira zitaendelea kama kawaida, sababu sisi watanzania wanyonge tunateseka na maisha haya ya ukata!
Habari wakuu,
Naomba kuuliza je chuo kikuu kipya cha muhimbili kilichokuwa kinajengwa Muloganzila kimeanza kuchukua wanafunzi mwaka huu wa masomo.
Ahsanteni
Mwenye uzoefu na hii kozi ya secretary naomba anielezee kwa undani ipo vipi yaan kuanzia chuo kinachotoa koz hyo ajira zake zipo vipi na mishahara.
Nahitaji kusomea ila siiijui kwa undani...
Wadau Mimi Ni MWalimu Lakini Napata Shida Sana Katika Hii Fani Yangu Sababu Nidhamu Ya Wanafunzi Ni Mbovu Wanakuja Shule Kwa Muda Wanaotaka ,mabinti Wanakuja Wamenyoa Viduku,mbaya Zaidi Ukitaka...
Heshima mbele wana JF
Kuna WIZI na UFISADI mkubwa umetokea katika pesa zetu tunazochanga kama ada ya association, Siwezi pita vumbi wakati lami ipo.... Rais ambaye anatakiwa kuondoka madarakani...
Ndugu wana jukwaa chuo chetu cha usimamizi wa fedha (IFM) kimeamua kututesa bila sababu ya msingi kwani tuliahidiwa kuingiziwa fedha za field baada ya uhakiki kumalizika ila cha kushangaza mpaka...
Habari wana jamvi.
Hebu tujaribu kuliangalia hili, post za kujiunga a-level zimetangazwa na watoto wanatakiwa kuhuripot shule tar 11 July bila kukosa cha ajabu Nina kijana wangu amechaguliwa...
Naomba msaada jamani maana niko mbali na jiji? Hii syllabus mpya nimeona imepunguza masomo which is good, 1) je kuna masomo mapya? 2) Naomba mwenye ufahamu anisaidie kama mtu ukikaa miaka mingi...
Amani kwenu wana-ndugu.
Kwa muda mrefu somo la "literature in english" limekuwa likifundishwa mashuleni bila kuwa na syllabi husika.
Walimu wamekua wakipata wakati mgumu ni kipi wafundishe na...
TAARIFA KWA UMMA
OR-TAMISEMI inatangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano awamu ya Pili (Second Selection) kwa mwaka 2016. Jumla ya wanafunzi 3,918 wakiwemo wasichana...
chama cha walimu sikielewi naona kinashabikia kufukuzwa walimu wakuu watakao kuwa na wanafunzi hewa! mbona kwenye watumish hewa wakurugenzi na wakuu wa idara tena wanaotumia makomputa maofisini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.