Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau habari zenu ,naombeni ushauri kwa wenye uwelewe wa course niliyoitaja hapo juu ,nina mdogo wangu kaomba course hiyo in udsm , Kwa wenye experiences ya kozi hiyo nakaribisha ushauri ,sana...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habarini wakuu, Nimepata 3 ya 24 na sijapangiwa A-level. Je kuna second selection na ni lini itatoka? Msaada wenu tafadhali
0 Reactions
26 Replies
19K Views
Wanajamii naona kuna kitu kinanitatiza sikielewi elewi. Ukishachaguliwa kwenye selection za chuo kuna mchujo tena unafanyika chuoni wa ukubali kwamba huyu aje a some huyu asije? Maana naona...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Ni vigezo gan hutumika kuwapanga wanafunzi wa kidato cha tano kwenye shule za vipaji kama Ilboru, Mzumbe, Kibaha etc. Kwa yeyote anayefaham tafadhal naomba unifahamishe. Natanguliza shukran.
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Kwa wale wanaoenda chuo hivi karibuni,hii ndo nafasi yako ya kuuliza chochote kuhusu civil engineering Karibu
1 Reactions
55 Replies
13K Views
Naomba kufahamishwa kwa fom6 yeyote aliemaliza 2016 na ameshachukua result slip yake, Je ukipata daraja E unaandikiwaje? principal pass, pass, satisfactor au unsatisfactor. Tafadhari kwa fom6 wa...
0 Reactions
85 Replies
11K Views
Natanguliza shukrani za dhati..kuna mdogo wangu kapata c,c,c combination ya egm ameapply education tu.anaomba ushauri akichaguliwa akachague masomo yapi ya kufundishia mathematics and geography au...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini za asubuhi wapendwa, nimepost humu kwa kuwa wengi ni wanafamilia na mna experience ya jambo hili. Hivi kuna uwezekano mtoto kumpeleka English medium hizi za kawaida na akawa fluent...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Ukweli kuhusu Wakuu Wa Shule za Sekondari Walioshushwa Vyeo- Arusha 1. Utaratibu wa kuvuliwa madaraka umekiukwa, kimsingi Katibu Tawala Mkoa ndie mteuzi wa Waalimu wakuu wa sekondari, hivyo si...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani naombeni kuuliza vitabu vizuri vya geography vya advance
0 Reactions
26 Replies
20K Views
TCU
Msaada wap pa kusubmit baada ya Ku apply vyuo??
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu; Nahitaji mwl wa KIFARANSA ambae pia anazungumza vizuri Kingereza ili atufundishe mimi na mke wangu nyumbani, kama unamfahamu tafadhali naomba unijulishe. Nitashukuru sana kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani inakuwaje kama nilimaliza diploma 2015 na nikapata 3.4 Gpa je naweza kuapply chuo ikakubalii
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Jamani wadau naomba mnisaidie kuhusu coz ya electrical engineer naitaji kusoma coz ya Electrical engineer Chuo cha kikuu mbeya MUST Naomba ufafanuzi juu ya ajila na kujiajiri
0 Reactions
11 Replies
3K Views
WAKUU. Ninaandaa document muhimu ambayo inahitaji kuweka yaliyomo (Table of contents). Nikiri kuwa mimi ni mtumiaji wa kiwango cha kawaida cha Ms office hivyo napata tabu kidogo katika hili...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salaaaam wana JF, Kichwa cha habari kama kinavyosomeka ni kwa wale wanaojiona kuwa ni wazuri wa kukosoa so thread hii haitawahu wasubiri nyingine.... Kama mjuavyo yamebaki masaa machache kabla...
0 Reactions
2 Replies
766 Views
Hebu vuta picha, namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili...
14 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari za asubuh wana jf nauliza jaman HV his application za udom za diploma mbona system ya app haijaainisha koz za kujaza
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tanzania bado ni nchi ya kusikitisha duniani ,inatia huruma ,tatizo kubwa la tanzania ni kuwa na wanasiasa sehemu ambazo zinahitaji wataalamu mathalani kama TCU,katika tangazao lao la kupandisha...
14 Reactions
98 Replies
9K Views
Back
Top Bottom