Habari wakuu JF?
Bila shaka mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku katika ujenzi wa taifa. Natoa rai kwa watakaopitia uzi huu kuwa natafuta kazi kwa wenye nafasi za kazi. Si uungwana...
Daaahhh hii barua nmeipenda xn
My son starts school today. It is all going to be strange and new to him for a while and I wish you would treat him gently. It is an adventure that might take him...
Mmeamkaje wapendwa,naombeni ushauri nimechaguliwa kwenda kusomea ordinary diploma in petroleum geoscience madini institute pale Dodoma lkn nataka kubadilisha niende ordinary diploma in laborary...
Habari zenu wakuu
Nmeandika hii thread nkiuliza kama naweza Fanya computer science o level nimechukua science
Phy D
Chem D
Math C
Bio D na advance nimesoma HGE
Hist C
Geo C
Eco C
Bam D
Naomba...
Habari wanajukwaa,
Nahitaji kubuild solid foundation katika maswala ya "COMPUTER PROGRAMMING".
Nimeamua kusoma degree program mwaka huu ili niweze kupata hizo skills. Ningetaka zaidi kusoma...
Habari wana JF kama kichwa cha habari hapo kinavyojieleza, kwamba mtu akisoma hiyo bachelor anakuwa nani au anafanya kazi wapi na soko lake la ajira likoje kwa sasa
Habar wana jf,
Ningependa kuchukua fursa hii kuwajulisha kwa wale diploma holders wenye lengo la kutaka kuendelea na higher education ktk chuo cha UDSM sifa stahiki zinahitajika na kwa wale wasio...
Habari zenu wadau, naombeni msaada juu ya hili hivi mwenye diploma yoyote kama diploma in entrepreneurship,accountant n.k kwa guide book ya mwaka huu je anaweze akasoma bachelor ya education km...
Nimemaliza kidato cha nne nakupata Div3 ya 25 ila nataka kozi ya Afya kwa kuwa nina D mbili kwenye somo la Biology na Chemistry But phs sikusoma ayo masomo mengine nina Dna C chache je nitapata...
Wakuu nilikua nauliza mwaka huu hamna second selections za form five mwaka huu hamna? Mwenye taarifa please naomba maana nina mdogo wangu yupo nyumbani hadi namwonea huruma
Mimi ni mwl niliyeajiriwa mwaka jana(2015) mwezi wa tano na ni munufaika wa mkopo wa elimu ya juu.Wameanza kunikata deni lao kuanzia mwezi wa nne mwaka huu(2016),cha kushangaza zaidi mshahara wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.