Nahitaji kuunganishwa na shirika lolote ambalo linaweza kunisaidia kusoma chuo au
advance.
Kwayeyote ambaye analijua au ashawahi kusaidiwa naomba aniambie ili na mimi niweze piga hatua mbele.
Natumai ajira za walimu 2016, zitatangazwa leo, kesho, kesho kutwa au mtondogoo, kwasababu jana ndo ulikua mwisho wa kuhakiki maswala yote ya WATUMISHI HEWA, sasa hakuna kikwazo kingine!!!
Au...
Habari zenu ndugu zangu mimi ni mwanafunzi wa diploma niliyemaliza mwaka huu na nina GPA nzuri nimemaliza katika chuo cha MIPANGO Dodoma lakini mpaka leo hakuna mwanafunzi aliyeapply chuo mpaka...
Naomba kupewa ufafanuzi kuhusu kozi hiz Mediacal Officer na Clinical Officer. kozi ipi inafuture mzuri kwa maana unaweza kuanza nayo kwa ngazi ya diploma mpanga ngazi ya juu zaid, kazi za kila...
Habari zenu wanajamvi,
Poleni na majukumu, naomba msaada wa mawazo.
Mimi niliomba kudahiliwa higher diploma ya education pia ordinary diploma za afya kupitia NACTE. Wamenipa ordinary diploma in...
Habari wanajukwaa,
Naomba upendekeze mtu mashuhuri aliyefanikiwa katika fani ya injinia wa umeme au makenika akiwa kajiajiri mwenyewe ili awe mtu wa mfano. Kijana anataka ajimotivate pale...
Nina degree ya social science lakini kutokana na ukosefu wa ajira toka nimalize chuo 2008 nataka nisome kozi yoyote ya afya yenye ada ndogo na iwe ya mwaka mmoja natumai labda nitaondokana na hili...
Habarini za mchana.
Hivi kwa hili la serikali kuwahamishia wanafunzi ktk vyuo vingine ni kweli wataendelea na hiyo Special diploma kama ya waliobaki pale UDOM au wao ndo itatakiwa wapate...
hey guys, jaman me naomba ufafanuzi kwa anayefaham hili,.•• inasemekana kuwa diploma in primary now ni BASIC TECHNICIAN certificate!" na inasomwa miaka 2 tuu na xio mitatu"! mweny kuelew zaid atujuze
wakuu nina C 4 D 2 E 1 na F1
pia nina chet cha nacte cha maendeleo ya jamii cha mwaka 1
jee naweza kusomea ualimu kwa level ipi???
nilisoma masomo ya biashara na arts shule ya sekondar
Asilimia 90% ya uendeshaji wa vyuo vikuu nchini unategemea ada za mwanafunzi. Asilimia 98 ya wanafunzi wa walioko vyuo vikuu nchini wanategemea mikopo kutoka board ya mikopo lakini mpaka sasa...
Walimu wa shule ya sekondari Nyakabungo katika wilaya Nyamagana jijini Mwanza, wanatuhumiwa kufanya mapenzi na wanafunzi hali iliyowafanya baadhi ya wazazi kuiomba serikali kuwachukulia hatua...
Katika kuhakikisha hadhi ya ualimu na waalimu inakua nchini, Chama cha Walimu kinapaswa kurejea madhumuni yake mfano
(a) Kuendeleza na kulinda hadhi ya kazi ya ualimu pamoja na kusimamia viwango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.