Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Samahani wakuu nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nimechaguliwa kujiunga na diploma pale MIST kozi ya Mechatronics Engineering. Sasa naomba nifahamu kuhusu hii kozi inahusika na nini? Vilevile...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wadau anefahamu kuhuzu kozi hizi za Health informations na science in biology zinatumika sehemu gani na vipi soko lake la ajira likoje? msaada tafadhali
1 Reactions
6 Replies
769 Views
Elimu inatakiwa kukupatia ujuzi na maarifa unayohiitaji uyatumie kupambana na mazingira na kusaidia jamii ! Habari ya kushidana GPA , Chuo kipi Bora , Mara Flani kilaza n.k havina maana kwenye...
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau wa Maktaba, Mnakaribishwa kutembelea Maktaba yetu ya Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 1/9/2016 - 8/9/2016 ambapo kutakuwa na week ya kujisomea. Tuta-exhibit (onesha) vitabu mbalimbali...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wana jukwaa naombeni mwongozo wenu katika kuchanganua ipi ni bora kati ya kozi hizi... BACHELOR OF BUSNESS INFORMATION SYSTM, BCOM ACCOUNTING or ARTS IN ECONOMICS
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wanajamvi? napenda chukua fursa hii katika kutoa elimu juu ya masuala ya vyombo vya anga niulize swali lolote kuhusiana na plane's engines na utendaji kazi wake asante nawakilisha hoja
3 Reactions
23 Replies
4K Views
UWATA SECONDARY-MBEYA KIDUGALO SECONDARY-NJOMBE KIRASALA SECONDARY-MOSHI ST.PETER SECONDARY-MOROGORO
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Hata kama ni kubana matumizi lakini kwa Hapa nasema wazi kuwa this is too much! Kwamba mtihani huu hautakuwa wa mchujo tena na wote watakwenda kidato cha tatu HAKUNA KUFELI* Kwa hili niseme mama...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
Vyuo vingi vishapatiwa pesa zao, chuo chetu inasemekana pesa hata haijaja kwa Maelezo ya Loan officer, tunawasiwasi kaiweka fixed account. Mwenye namba za Bodi ya Mkopo tunaomba tuweze...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimechaguliwa kusoma Certificate in Accountancy Arusha (IAA). Napenda kubadilsha kusoma certificate in Law Lushoto. Nifanyeje? Je inawezakana, if so nitumie taratibu gani kubadilisha?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na haya mambo ya elimu ya juu! Nimefanikiwa kupata principles advance level PCM (ABC=6PTS), nahitaji kusoma either of above mentioned programme hivyo mawazo yenu...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
[emoji42] Ndoto yangu usiku wa kuamkia leo, nimeota eti ajira za waliimu ambao wamemaliza vyuo mwaka 2015 zitatolea usiku wa kuamkia sep 1-2016 ili kuwakipu bize vijana wasishiriki ujenzi. Tuwe na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tufanyeje Ili Kuziondoa?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
HABARI ZENU WAKUU.... Naomba kufahamishwa kuhusu diploma ipi nzuri kati ya hizi zifuatazo na ajira zake kama zipo direct toka serikalini au laa... 1:DIPLOMA IN DIAGNOSTIC RADIOGRAPHY (DDR)...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
UFAFANUZI KUHUSU MADAI YA WASIOKOPA KUDAIWA MIKOPO 1.0 UTANGULIZI Kumekuwepo na taarifa zilizotolewa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, hasa gazeti la Jamboleo toleo namba 2541 la...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Dear student,in order to continue receiving loan from HESLB you have to pay 20,000/= your information are not seen from the board after loan update.So we need to make the follow up to your...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
msaada...nna division 2 ya 12 form six PCB phys E Chem D na bio C name form four nlikuwa na div 1 ya 17 nmeapply chuo KCMC kozi ya prosthetics & orthotics na competition kiujumla ni applicants 22...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni uamuzi wa kushangaza sana kulazimisha watoto wasome masomo ya sayansi eti ili kuleta Tanzania ya viwanda. Kumbuka kwamba kuna mipango ya muda mfupi na ya muda mrefu. Mtoto wa form II kusoma...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
jamani nimeona post moja wasap kuhusu uhamisho wa mwezi june ikielezea watumishi wa mkoa wa Dodoma waliohama. Kuna mtu yeyote mwenye tetesi za lini majina yatawekwa kwenye mtandao kwa wote
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Je,kwa sasa naweza kupata nafasi ya diploma in clinical medicine machame?msaada kwa yoyote anaejua hili.asanten sana
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Back
Top Bottom