Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Samahani wakuu, Kwa walioomba degree ya sheria UDSM na mzumbe ya Moro na Mbeya ufaulu wao unatakiwa uweje? Maana kila mtu anasema yake huku baadhi wanasema lazima division one mwisho ya point 7...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwenye Guide book ya udom ya watu wa DIPLOMA naomba anitupie hapa au marcomhagama335@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
jaman habari wanajamii wenzangu najua mko salaam mimi nilikuwa naomba munisaidie hizi diploma za udom tangu watoe tarehe26 mwez wa6 mpaka saivi hakuna deadline na pia je, kwanini wenyewe hawapo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomben Msaada kufafanua hii faculty ya bachelor of Science in agricultural and natural resources economics and business.
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Naomba kujua ubora na jinsi ambavo courses za NCC na ABE zinavokubalika au zinavo kuchukuliwa hasa kwa nchi yetu japo kwa mistari michache. Mfano wa courses hizo kama vile zinazotolewa Learnit...
0 Reactions
1 Replies
732 Views
Naombeni msaada je sisi diploma tuliomaliza 2016 mbona tumekua na vikwazo wakati wa kufanya aplication kwenye CAS na siku zinazidi kuisha
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Eti ni kweli kwa in service anayetaka kwenda kusoma chuo am hatapata mshahara mpaka amalize masomo yake? Naomba msaada kwa anaefahamu.
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa yeyote anaekifaham Chuo cha uhamiaji moshi (Tanzania Regional Immigration Training Academy) (TRITA) au mwenye namba ama mawasiliano yeyoto anipe! Au anisaidie kunipatia joining instruction...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amani iwe kwenu wadau. Napata shida juu ya hizi kauli naomba ufafanuzi kwa anaeelewa. 1. Master by thesis. 2. Master by course work and dissertation.
1 Reactions
1 Replies
976 Views
Degree in Custom and Tax management na B.Com in Accounting. BAF in ps vs BAF in bs. Msaada tafadhali wakuu
0 Reactions
7 Replies
4K Views
TheTasksPay.com - Earning website for Students and House wife
0 Reactions
0 Replies
2K Views
HSM
Jaman HSM hii ni program nimeiona mzumbe university morogoro kwa wasiyo ijua kwa kirefu ni bachelor degree in health system management na ni miaka 3 tu nashindwa kuelewa kma program ya udokta...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
naomben ushaur mm chet cha form 4 nina c mbili na d moja na four ya 30 ila g.p.a nina 3.7 naweza kwenda chuo kikuu msaada
2 Reactions
10 Replies
3K Views
hivi wadau kwa wale diploma holder mlio aply kwenda degree iv ni vyeti gan vinavyoitajika kuaplod kwenye system??? plz vitaje vyote.
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Habari Za jioni wakuu Kuna kijana amefeli form two kwenda form three twice , wazazi wanaumiza kichwa wafanye nini hili Dogo asome Je kuna chuo kinachopokea watu walioshia form two Au kuna shule...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ndugu za ni sh ngap ku apply iyo? nimefatilia sijui wadau naomben mnifahamishe pasipo mzaa kuwa serious ukinijibu
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Please anyone who can help me the practical example of an agency problem and how it was solved?
0 Reactions
0 Replies
458 Views
Habari Wana JF, Ndugu wanaJF, naimani wadau wa elimu mnafaamu wazi kuwa NACTE walikuwa tayari wamefungua uombaji wa kudahiliwa katika taasisi za elimu ya juu kwa upande wa wale walio na stashahada...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi mwalimu wa kwimba natafuta Mtu wa kubadilishana naye idara ya sec, uje kwimba Mimi nije Morogoro , mvomero, kilosa ,Namba 0622900502
0 Reactions
3 Replies
992 Views
Natafuta mwalimu wa kubadilishana kituo cha kazi kutoka mbeya aje songea (madaba) atakae hitaji anitafute 0755525131 elimu msingi
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom