Wanajukwaa naombeni ushauri wenu katika hili. Nina mdogo wangu amepata Economics C, Geography C na maths F, Scstudies E, anataka kuomba ( Busness Information System) UDOM.
Nahitaji kufahamu haswa...
Katika maisha ya chuo cha ualimu Butimba hasa kwa mwaka 2003 mpaka 2005 si rahisi kumsahau mama malingumu ambaye alijitahidi sana kukiweka chuo vizuri hasa kwa nidhamu chini ya uongozi wa mama...
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu nimepata IV point19. Nina principal moja na F zote. Sasa nauliza naweza kusoma diploma?
Je naweza kupata cheti na kama kurisit narisit masomo yote au...
Salaam sana wakuu
Hii course hapo juu nimetokea kuipenda kwa muda mrefu ila sikujua kama ipo tanzania.lakini juzi wakati napitia website ya MUST nikaiona na sio siri nimefurahi,sasa wakuu hapo...
Habari za wakati huu wanajamii formums
Naomba kufahamishwa muda wa ufunguzi/kureport chuoni kwa sie tulochaguliwa DIPLOMA YA INFORMATION SYSTEM AND NETWORK ENGINEERING KUPITIA NACTE.
Pia naomba...
Habari wanajamvi!
Leo ningependa kutoa ushauri kwa rais wetu ambaye amejitolea kwa watanzania kupata huduma safi na uhakika.
Rais wetu mpendwa mwaka wa huu mwanzoni uliweka policy mpya ambayo...
Natumia nafasi hii kumpongeza Waziri wa elimu kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuboresha elimu nchini. Changamoto ni nyingi lakini anajitahidi kupambana nazo.
DUKUDUKU LANGU NI KUHUSU PESA YA FIELD...
Jamani hivi mbona mwaka huu bodi ya mikopo "heslb" wamechelewa sana kutoa majina ya wanafunzi watakaohitajika kwenda kurekebisha ili kama kuna mapungufu watu wakarekebishe kama kuweka sahihi...
Wakuu nina DDE pcm,mwanzo nilichagua mech DIT ila nimeambiwa kua sina vigezo,nataka nichange niweke mojawapo kati ya bsc general, bsc environmental science and management au bsc industrial eng and...
Habarini wanaJF.
Nimeajiriwa mwaka jana kama mwalimu wa secondary. Baada ya kama miezi mitatu kuna tukio lilitendeka japo sikuhusika ilionekana mimi ndo chanzo. Mkuu alikuwa mkali hadi akanitamkia...
wakuu naomba ufafanuzi juu ya ufaulu unaotakiwa mwaka huu kwa walioomba degree ya sheria UDSM na mzumbe ya Moro na mbeya ...maana kila mtu anasema yake uku eti lazima wenye division one mwisho ya...
Za mchana wanajamii forums,nilikuwa naulizia kama kuna mtu amechaguluwa hiki chuo,kwa sababu nimepigiwa simu leo wakasema nimechaguliwa nisubilie joining instruction nitatumiwa kwenye e-mail
Kuna bacheor of Urban ®ional planning na hapa muda unaelekea kwisha. Sasa naulizia hiyo bachelor inayopatikana Ardhi university iko poa jamani?? Naomba kujua inahusika na nini?
Waziri wa Elimu,sayansi,teknolojia na mafunzo ya ufundi, Prof Joyce Ndalichako,amesema sifa za kujiunga na vyuo vikuu na kidato cha tano zimepandishwa ili kuinua kiwango cha elimu ya juu.
Ili...
nliomba nafasi ya diploma vyuo mbalimbali jana kwenye profile yangu wakanitumia message kwamba nimechaguliwa chuo mojawapo kati ya nilivyoviomba,ila sasa cha kushangaza sa hv nafungua nakuta hamna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.