Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Error! Provided Index/Registration and Examination/Graduation Year Names Mismatch with the names provided during registration, check the and try again (Code 4002) Ninapata hio error nikiingiza...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Kwa yoyote ambae anafahamu vizuri hormonal control of spermatogenesis jinsi inavyotokea kwenye mwili wa binadamu naomba anijuze(anielekeze) nimekwama hapa napiga msuli.
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Napenda kuulizia chaguo la awamu ya pili kwa kidato cha nne itakua lini maana kuna ndugu yangu ana div III ya 22 hajachaguliwa kwenda advance tulivyofatilia tukaambiwa asubili awamu ya pili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Pof. Ndalichako Abaini Wanafunzi Hewa Zaidi ya 1000 Vyuo Vikuu WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amesitisha malipo ya posho za kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu...
2 Reactions
60 Replies
7K Views
Habari wakuu.....mim ni mkemia nipo hapa kwa ajili ya kuitumia taaluma yangu ya ukemia na uwezo wangu wa kufundisha mim ni mwanafunz wa chuo mwaka wa 2 naenda course ya b.chem lakini pia niko na...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Majina Yashatoka kwa Wale Wanaoenda Chuoni Hapo kwa Mwaka wa Masomo 2016/2017! Kama Umo Humu,au Ni Ndugu Yako Naomba Usigee Hapa,Tubadilishane Mawazo!
0 Reactions
76 Replies
12K Views
WADAU HABARI ZENU NAJUA HUMU KUNA WATU WENYE PROFFESIONAL NYINGI NAOMBA KUULIZA JE ?VYUO VYA VETA WAMEANZA KUTOA FOMU KWA AJIRI YA KUJIUNGA NA LONG COURSE MWAKANI?
0 Reactions
1 Replies
824 Views
Habari wana JF.... yeyote mwenye join instruction form ya haydom school of nursing 2016 ani PM ,,,kuna binamu yangu amechaguliwa hapo DIPLOMA CLINICAL MEDICINE first round...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
NAFASI ZA KAZI MWALIMU WA UANDISHI WA HABARI NA MAWASILIANO YA UMMA (JOURNALISM AND MASSCOMMUNICATION). AFA AWE NA BACHELOR DEGREE YA JOURNALISM. WASILIANA NA MKUU WA CHUO EDEN HILLS COLLEGE...
0 Reactions
2 Replies
854 Views
Infamous test was dropped 30 years ago amid accusations its favoured those that were better off Exam will now be introduced for all applicants and will be tailored to suit different subjects First...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Utaratibu wa kuvuliwa madaraka umekiukwa, kimsingi Katibu Tawala Mkoa ndie mteuzi wa Waalimu wakuu wa sekondari, hivyo si Mkurugenzi wala Mkuu wa Wilaya anaweza kuteua, kutengua au kuvua...
6 Reactions
19 Replies
5K Views
Nimelipia kupitia M-pesa napo weka ile vocher niliotumiwa na TCU na ambiwa hivi: "Sorry, either your payment transaction id is not valid or there was a delay in receiving your payment details...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
sekondari kwa hiyo njoo ututembelee na huku ututumbulie haya majipu ambayo yanadai yameinunua halmashauri
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Naomba msaada niendelee vipi? Nimeshafanya registration NACTE sasa katika kuendelea na step ya pili kuna sehemu inaitaji ujaze taarifa za o level na ukimaliza inakuja option ya kujaza information...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Njoo Musoma dc nije arusha wilaya yoyote,Kilimanjaro wilaya yoyote, na tanga korogwe Hansen,idara sec 0659873670
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Zenye soko -medicine -engineering -procurement and logistics mgt -ualimu -economics -agriculture ambazo hazina soko -accounts and finance -banking -BBA -pspa -law -community dvt...
1 Reactions
77 Replies
43K Views
je ina soko? naweza fanya kazi taasisi gani? nataka niapply jeshi je nitafanya kazi kama nani na ktk utendaji upi kisekta
0 Reactions
3 Replies
2K Views
THE UNIVERSITY OF DODOMA (UDOM) SHINES The University of Dodoma has shined during the 2nd Tanzania Women Engineers Convention and Exhibition (TAWECE) 2016, held in Dar es Salaam, today, August...
3 Reactions
23 Replies
5K Views
wakubwa anayehitaji vocha ya kuapply tcu.anicheki.jamaa yangu alinunua lakini.kapata tatizo hatoapply mwaka huu.
0 Reactions
1 Replies
813 Views
Wakuu naombeni msaada utofauti kati ya hizi kozi mbili wakuu? na chuo gani kati ya hivi ni kizuri kwa hizi kozi husika TIA,MZUMBE,ARDHI. ahsanteh
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom