Bodi ya mikopo ya elimu ya Juu (HESLB) imetoa orodha ya majina ya wanafunzi walioshindwa kuhakiki taarifa zao. Ni hatari sana.
http://olas.heslb.go.tz/downloads/WANAFUNZI_WASIOHAKIKIWA.pdf
Wanajukwaa wazima?
Mi mzima nauliza kama ulifaulu NABE |,NABE || na NABE |||.Pia una vyeti vyote vitatu.na O level ulisoma commerce na bookkeeping ukaifaulu vizuri ,pia A level ukawa umesoma ECA...
msaada jamani niupi utafauti wa hizi kozi? naje ukisoma BAF-Ps lazima uajiriwe na Serikali tu au ata private unachukuliwa?
samahani kwa wewe utakaeona nimeuliza swali la kijinga
najua...
Wadau nahitaji kukifahamu chuo hiki mazingira yakoje?Kuna hostel?
Je mwaka huu kuna sponsorship government ?Tarehe ya kuripoti lini na utaratibu wa join instruction uko vipi kwa ngazi ya cheti...
Mimi ni mwalimu wa masomo ya physics na mathematics, (degree holder) nina experience ya miaka 5 sasa...... Natafuta Kazi ya kufundisha masomo hayo kwa Level zote (alevel na olevel) kwa wanaohitaji...
MPYA KUTOKA WIZARA YA ELIMU-WANAFUNZI WA CHUO CHA UDOM WALIOPANGWA MAFUNZO YA UALIMU CHETI MTWARA-KAWAIDA 2016/2017
KUPAKUA PDF>> BOFYA HAPA
JOINING INSTUCTIONS KWA VYUO...
Tangu asubuhi ya leo, CAS kupitia NACTE haipatikani kuna tatizo gani?
Hata ukipitia Link ya TCU bado haipatikani
Tatizo ni sever ya mtandao ninaotumia mimi au ni server yao?
Ukiwapigia help...
Msaada jamani nikiaaply nacte bachellor nikiweka number registration inakataa inadai kuwa reg.no/examination number/graduation year is not in our system nimeenda jana nacte hakuna umeme nimerud...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.