"Youth citizen entrepreneurship competition"
KING EDICK COLLEGE ipo katika kuwania best project 2016, kuptia hii link hapo chini nakuomba ewe mwana JF mwenzangu upge kura na utoe maon yako kuptia...
Wakuu naomba msaada katika kujaza maombi ya degree tatizo ni katika kujaza mwaka niliomaliza, mfano mimi nimemaliza Diploma mwaka 2016 lakini katika kuchagua huo mwaka haupo katika system ya TCU...
habari zenu wakuu,hivi lini majibu ya pili yatatolewa,maana wale waliochaguliwa chaguo la kwanza wapo njiani vyuoni,sisi tunauza sura mtaani tu na je deadline itakuwa moja au mbili,kingine...
Habari wana jukwaa
Nimatumaini yangu kwamba nyote wazima kabisa! Kwa wanaojua ni IPI kozi bomba sana kati ya hizo tajwa hapo juu! Yenye mashiko kwa sasa na salary nono! Na opportunity za ajira...
Watanzania wengi washio ughaibuni yaani ulaya na marekani na hasa wale ambao hawajuri Tanzania kwa muda mrefu,,bado wanaushamba ule wa kizamani wakihisi kua vitu wanavyojua wao au kuanavyo wao eti...
bado sijaelewa kabisa mpaka sasa,, wakati NACTE wanatoa tangazo la udahili wa pamoja kwa kozi mbambali zikiwemo za kilimo,, afya,, mifugo,, na kadhalika kwa ngazi ya astashada na stashahada,, siku...
Nimechaguliwa kujiunga na chuo cha TIA Mtwara naomba anayafahamu anijuze haya yafuatayo
1. Kuhusu gharama zake
2. Chuo kinatoa huduma za hostel?
3. Kipo ktk mazingira gani?
Ni hayo tu, kwa yeyote...
Mpaka sasa, wanafunzi wanufaika wa mkopo hawsjapewa fedha zao za kujikimu, mbaya zaidi vyuo vingine kama UDSM, DUCE, ARDHI wameshapewa
inakuaje asitishe malipo yao kabla wanafunzi wa UDOM...
Habari wakuu.
Naomba kupata maelezo angalau ya kunitoa gizani kuhusu hii kozi ya Marine Engeneering ipoje,changamoto zake,uzuri wake,ajira zake na maelezo mengone muhimu.Najua hapa ni home great...
Habarini wakuu... Ujue me nashangaa saana kwa watu ambao wanalalamika eeti vyuo vingi sana sana vya afya vimeweka admission capacity ndogo sasa ukifatilia wengi wanaolalamika ni aambao...
Habari za wakati wana jf kuna ndungu zangu walifanya application nacte through CAS na application dedline ilikuwa ni tr 13 august baada ya dedline kila mmoja alipo ingia kwenye profile yake...
Nimeingia NACTE website naona kama hawajafungu applications kwa wale ambao wameomba mara ya pili, Je hii ni kweli? Mwisho ilikuwa tarehe 13/8/2016. Mbona bado application profile iko wazi na...
Nawasalimia wana jamii forum kuna doctor yyte anayeijua hospitali ya mnazi mmoja (zanzibar) anipe information pale km mtu aweza fanya internship nina ndugu yangu anapenda zanzibar ataka enda...
Wanafunzi wapatao 230 kati ya 300 katika ngazi ya Diploma, chuo cha utawala na fedha(ZIFA) hawana vigezo vya kuendelea na degree kwa kukosa alama ya 3.5 GPA.
Kwanini Wanafunzi wengi hasa wale wa Sekondari wanapenda sana topic ya Reproduction?? Inapofika hii topic wanafunzi huwa active sana na maswali Mengi ya kutosha, hata wale wenye kupenda kulala...
Habari wana jukwaa
Nimatumaini yangu kwamba nyote wazima kabisa! Kwa wanaojua ni IPI kozi bomba sana kati ya hizo tajwa hapo juu! Yenye mashiko kwa sasa na salary nono! Na opportunity za ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.