Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mimi Ni kijana wakkitanzania muhitimu wa shahada ya kwa ya Elimu katika Sera, mipango Na utawala. Nafundisha Geography Na Economics II. Pia kwa primary nafundisha Geography, Civics Na ICT. Nina...
1 Reactions
0 Replies
581 Views
Msaada wakuu utofauti wa hizi kozi,ipi iko poa,markertable na hata kujiajiri?!!! Nimemaliza diploma ya accounting nashukuru matokeo mazuri.nakaribisha mawazo na ushauri wakuu ahsanteh.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari. wadau jamii foroum!leo nina tatizo ambalo linanisumbua kwa kiasi kikubwa. Tatizo hili hasa linawahusu bodi ya mikopo kama mnavojua tuliambiwa kuwa kuapply mikopo mwisho tarehe...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu?? sio wote JF tuna elimu sawa sababu najua wengine wamepitia mengi na ni wajuzi wa mambo mengi zaid au wamesoma wamefika mbali sana,sisi ni ndugu wana jamiiforums Mkuu mwenzenu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF nilikuwa nauliza kama kuna mtu ana taarifa yoyote kuhusu hii kozi ya monitoring and evaluation kwa ngazi ya postgraduate au masters, chuo kinachofundisha hapa Tanzania na entry...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Waungwana nauza code ya M-pesa ya TCU kuna mdogo wangu alikua analipia chuo sasa akakosea akalipia kama form six levers kwa hiyo kama kuna mtu atakae kua anahitaji awasiliane na Mimi kupitia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani nimechanganyikiwa kati ya hz kozi Nne BACHELOR DEGREE YA 1. Animal science ya SUA 2.wildlife management SUA 3.mathematics with ICT (EDUCATION)ya SUA 4.Agromechanics and water irrigation...
0 Reactions
4 Replies
978 Views
Serikali ifanye ukaguzi wa kina kwenye bodi ya mikopo kwani si ajabu lile ombwe la baadhi watendaji ndani ya bodi kujigeuza wanafunzi na kujikopesha wenyewe bila marejesho limerudi tena. Hii ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanajf, Mdogo wangu amechaguliwa kujiunga diploma Arusha tech college. Naomba kujuzwa vizuri kwa anayefahamu maisha ya hapo.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau naomba mnielekeze mtu akisoma faculty ya community development anaweza kujiajiri au kuajiriwa katika shughuli gani????
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Habari wanaJF, na swali kwa wauguzi? Katika kufanya kazi za uuguzi kuna vitengo / idara . Kwa mfano muuguzi huyu anafanya idara/kitengo flani. Naomba mnipe ufafanuzi kuhusu vitengo/idara.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani wana jf mbona tulio apply degree via nacte account zetu hazifunguki kwenye cas
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada wadau,ninasoma guidebook ya diploma,kipengele cha kuchagua program sijaelewa diploma anachagua vyuo vingapi na program ngapi katika chuo kimoja?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
TEKU bila TEKU HALL,LIBRARY,HEKIMA,AMANI na UZIMA HOSTEL ni majanga makubwa!,kumbi kama za SIMWANZA na MWAKASYUKA hazifai kwa maana kuna muingiliano wa mwangwi,wahadhiri wamegoma kutumia vipaza...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ndugu zangu ukiwa unaaply degree NACTE wameweka kigezo cha full technician certificate lkn mimi siielewi inamaanisha nini anaeilewa anisaidie ndugu zangu
0 Reactions
5 Replies
12K Views
Habarini hatimae TCU wametoa guide book imetokwa kwa waombaji wa diploma kwenda Degree http://cas.tcu.go.tz/assets/images/Undergraduate_Admission_Guidebook_Equivalent_Applicants.pdf
6 Reactions
110 Replies
21K Views
Let's do mathematics, post something substantial to help others learn in one of the forums below: 1. University Level maths: Mathematics : Open Discussion Forums 2. Secondary School Advanced...
1 Reactions
1 Replies
856 Views
Hivi kutoa pesa pungufu ya field ni kuishiwa au jeuri ya mzee mana haijawahi kutokea wacha tuisome namba...
1 Reactions
121 Replies
12K Views
Kwa wale wote mliojaza chuo cha arusha technical college selection zmeshatoka na majina yapo nje Hata kama profile yako imeandka wait for selection jarb kuangalia Website ya atc Www. Atc. ac. Tz
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini za asubuh, msaada kwa mtu anayejua namna ya kulipia nacte cas kwa mpesa ... vtu vnavo nichanganya ni kuhusu reference namba na business namba hvo km kuna mtu mwenye ufaham vzur anisaidie
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom