Hawa TCU siwaelewi, sisi ambao hatujaenda chuo mwaka jana na tumewaandikia barua hatma yetu lini. Mbona hatuoni majina yoyote ambayo wametoa duuuu[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Jaman Wakuu mimi ningependa kufahamishwa ni taasisi zipi za binafsi zinazotoa mikopo ya kielimu kwa elimu ya juu chuo kikuu ukiachana na Tasisi ya selikali ya (HELBS) Na utaratbu wao wa marejesho...
Nasikia tayari bwana jpm amelipa tsh 200000 kwa walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu ni 250000
Za waratibu zimewekwa katika acc za shule inayobeba jina la jata yake na zimewekwa kwenye acc ya...
Habari zenu wana JF wenzangu,
Mimi nilifanya application 28 may kupitia NACTE, ila sikukamilisha application coz kuna vyuo vilikuwa havionekani so nikaenda NACTE nikaambiwa nisubiri TCU watatupa...
daaa habari wana JF nauliza hivi ukiangalia guide book ya diploma from tcu kila chuo nacho angalia naona wanafunzi wanaoitajika kwa kila coz ni wachache je ni kwamba watu wa diploma tupo wachache...
Wakuu kwema? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ningependa kufahamishwa kwa yeyote mwenye kujua open university of tanzania ni lini wanatoa majina ya waliochaguliwa kujiunga post...
Nimesoma diploma ya procurement and supplies management sasa nataka kusoma bachelor ila sitaki tena kusoma procure nataka niibadilishe mana haina soko zuri
naombeni ushauri nisome nini au kozi...
Kukaa kimya kutoongelea swala hili inamaanisha nini wadau?
Hebu mujiongeze kidogo ndugu wakuu mulioko field, mumesha ambiwa muende field muache mgumo baridi but uhakika wa hizo pesa nusu hauko...
Ushirikiano tafadhali. Kama umechaguliwa chuo cha afya weka matokeo yako yenye mwaka husika, kozi na chuo ulichochaguliwa.
Kisha kama wewe uliomba kama mtahiniwa wa kujitegema "Private candidate"...
,,,,,,Habari zenu wakuu??,,,,
Nadhani nyote ni wazima wa afya ningependa kupata ufafanuz kutoka kwenu hivi kwanini TCU capacity wameweka chache yaani si kwa diploma holder wala form six leaver...
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) shughuli yenu ni kuhakikisha uwepo wa mitaala, mihtasari na pia ufuatiliaji wa utekelezaji wa hayo.
Kwa sasa TET wanaona kuwa vitabu vilivyoko shuleni ni vibaya...
Habari wanajamvi nilikua nawaza na kuwazua nikajiuliza swali,kwanini Serikali isifanye Utaratibu wa Vyuo vya Veta kutoa elimu walau hadi ngazi ya Diploma?
Mwanafunzi akimaliza grade I au level I...
Mh. Prof, sijui umesoma fani gani ie Arts or Science! Waache watotot wachague WANALOLIWEZA. Angalia equation hiyo hapo chini, this is absolutely abstract thinking ambayo siyo kila mmoja anayo...
BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), limetangaza ufunguzi rasmi wa Mfumo wa Udahili wa Pamoja (Central Admission System (CAS)) kwa mafunzo yanayoratibiwa na Baraza kwa mwaka wa masomo wa...
Naishi igunga, Tabora nakos mda kusoma darasni kutokna na ajira yang pia napenda kujiendeleza khpitia hii huduma ya elim masafa ila sijui pa kuanzia. NISAIDIENI 0743051124
Jamani hivi form six wanahusika katika ku apply dip au ni dip ndo wana aply kwend degreee na je kwa wale form six waliokosa sifa za kwenda degree nin hatima yao ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.