Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nawashukuru wote tulioshiriki pamoja kufuatilia Ahadi za TCU. Hatimae wamefungua Udahili kwa ajili ya Diploma Holders Leo ni Tarehe 15/8 Tumesubiri toka usiku na sasa ni mchana na karibia siku...
2 Reactions
118 Replies
13K Views
Habar zenu wandugu! Karibun sana katka hali ya kufahamishana mawili matatu kuhusiana na kuripot chuon na mambo mengine ikiwa wapo miongon mwetu washafika kwenye hii Taasis yetu ya Usafirishaj...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau kama ushawahi kusomea hapo au umechaguliwa apo nambie me nimechaguliwa apo natafuta Wadau wenzangu kama wapo
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Wakuu naomba kufahamu ni kipi hasa cha mno kinachosababisha kozi ya clinical medicine kuwa na ushindani mkubwa sana katika uombaji wa naasi za vyuo? Je ni kweli kwamba ndo kozi bora kuliko kozi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Ikumbukwe kuwa kuna awamu hatukuweza kwenda JKT kutokana na muda wa kwenda chuo kuwa umefika na hivyo kusaini mkataba wa kuwa tutarudi tukimaliza chuo kama kiapo, Je utaratibu huo ukoje ili na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
imetoka taar
0 Reactions
5 Replies
952 Views
HAYA KAZI KWENU
0 Reactions
3 Replies
862 Views
Bila shaka mu wazima humu ndani,nimeleta uzi huu kwa nia ya kumsaidia ndugu yangu ambaye ana kijana wake ambae alifanikiwa kufaulu vizuri kidato cha nne na kuchaguliwa kidato cha...
1 Reactions
6 Replies
949 Views
Naomba mnisaidie namna ya kuandika hii security code kila nikiandika naambiwa sio sahihi. Ahsante
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Mbona kimya wadau wenye diploma wanaotaka kuapply kwenda degree tupeane dondoo mambo yakoje. Tunaomba nyepenyepe lini utafunguka huo ukurasa tuanze kuapply mm kichwa kinaendelea kupata moto...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Shulenyingi za private huwa zina toa elimu kwa PC na idadi ya PC no wengi mashuleni hii VP....
0 Reactions
1 Replies
877 Views
Amani iwe kwenu wana JF. Baada ya kusogezwa mbele kwa muda wa kuanza field mwaka huu ambapo ilikuwa ianze tarehe 25/7 ikabidi ziongezwe mbele kwa wiki mbili kutokana na zoezi la uhakiki...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kutokana na TCU kuto kuwa na uhakika wa kile wanachokifanya na wanachoelekeza, basi watanzania wote tuungane kupiga kuwa ya kuto kuwa na imani na TCU.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani naombeni mnisaidie kuhusu upatikanaji wa ajira wa hii course pamoja na malipo yake please kwa mtu aliyemaliza digrii ya kwanza
0 Reactions
17 Replies
11K Views
Wale wa diploma to bachelor guidbook tayari
1 Reactions
2 Replies
890 Views
TCU NDO WAMESHATOA EQUIVALENT ADMISSION GUIDEBOOK 2016/2017 KWA DIPLOMA JAMANI ILA BADO KUFUNGUA SYSTEM YAO.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Samahani kwa usumbufu wakubwa ninaomba tu mnielezee uwezo wa hicho chuo katika kutoa elimu kwa sababu nimechaguliwa apo in diploma of nursing plz msaada wenu juu ya historia ya chuo #asanteni
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Salam kwenu wakuu, Kama mkereketwa wa masuala ya elimu, Nina imani serikali inaitambua vyema shule hii yenye historia maridhawa. Ikiwa imeanzishwa Mwaka 1929 na ikijulikana kama st.Thomas more...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF, mimi ni mgeni humu jamvini. Naomba msaada wa kupata namba za simu za mhusika yeyote wa ofisi za TCU upande wa Admission mana kuna tatizo la kiusajili nimekutana nalo ambalo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani TCU ndo mmeshatusahau au vip leo tar 15 bado kimya
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom