Mkuu wa wilaya Majula kasika , mkurugenzi Marcelin Ndimbwa na Engineer, Maimuna makutika wa wilaya ya Malinyi wakutana na wahitimu wa vyuo vikuu Dar es Salaam Leo 13 .8.2016
Katika kuhakikisha...
Habari wana JF
Hivi nilitaka kusaidiwa kitu kumoja.
Kuna siku kuna kaka yangu mmoja anasoma civil engineering pale MUST mbeya.
Alikuwa anataka kuapply mikopo kwa bodi ya mikopo na mwingine dada...
Serikali imewapeleka wanafunzi wa masomo ya afya katika chuo kikuu cha Kampala na kuwatelekeza huko bila msaada na kuendelea kuwakandamiza..
Hivyo wanafunzi wa chuo hicho sasa wanajulikana kama...
Swali: kwanini wakati wa usiku vumbi hubaki/huganda sana ktk anga hii yaweza onekana barabarani kiurahisi,,,,, Na pia wakat wa usiku pia moshi huganda pia hewani badala ya kusambaratika???
Soma hii:
TAARIFA KWA UMMA
Bodi ya Mikopo inapenda kuwataarifu wadaiwa wote waliopo Dar es Salaam kuwa Ofisi za Bodi zitakuwa wazi kwa siku mbili za kesho, Jumamosi, Julai 30, 2016 na Jumapili...
Nimekosea kujaza mwaka kwenye namba ya mtihan ya o level nimeeka 2016 baada ya 2013 nifanyeje kuepuka kuitwa kwa waliokosea au sitoitwa kwa vile cheti cha matokeo kinaonesha mwaka sahihi. Naomba...
karibu lisaa sasa imepita tangu niingize code za malipo ya ada ya maombi nacte,, lakini bado sijapata username na password ili kuconfirm usajili huo wa nacte na kuendelea na mchakato wa maombi...
Yafuatayo ni maongezi ya kijana Julius na mtangazaji wa PB, Gerald Hando wa Clouds FM. Julius afunguka na kueleza jamii sababu iliyomfanya afanye kitendo hicho.
Historia fupi...
Jina langu...
Leo kuna mida fulani nimepigiwa simu na mama mmoja hivi namba ngeni! Kwa kuwa simu yangu nimeweka True caller imeniletea jina juu pale St.Joseph! Nika pokea akaniambia naongea na mzazi/mlezi wa...
Habari wadau wa elimu??! Nina shida na ushauri wenu juu ya programu tajwa hapo juu. Nina digrii ya manunuzi na ugavi.vipi ninaweza kuomba hiyo kozi. Ninaipenda kweli.....
Rais anaposema watu wazae tu watoto maana watasoma bure afu wakifika advance anawakandamiza kwa grade ambazo ki ukweli ni ngumu ukilinganisha na miondombinu mashuleni
Pia kutotoa fedha kwa ajili...
Waungwana; hivi hizi nyuzi zinazosambazwa kwenye mitandao yetu hii za kudai baadhi ya halmashauri zinaupungufu wa walimu. Kwaiyo wenye uhitaji wakupangiwa halmashauri hizo wafanye mawasiliano kwa...
Mara nyingi nimekuwa nasikia matangazo ya kozi ya kiingereza inayotolewa na anayejiita Ras Simba kuwa anamfundisha mtu asiyejua kiingereza cha kuongea na kuandika ndani ya wiki 2 au 3 mtu atakuwa...
Jamani hii ni serious issu naombeni msaada kwa yoyote anaeijua shule nzuri inayofaulisha sana wanafunzi wa masomo ya sayansi advance mkoani Mbeya please ni serious utani majungu yakaushie.
Hivi hizi hela za field zitatoka lini ? Mwanzoni tuliahidiwa kuwa jumanne ya wiki hii zitatoka ila hazikutoka na siku za field ndio hivyo zinazidi kupita.Serikali ilitangaza kusogezwa mbele field...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.