Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jaman mm nimeaply chuo cha archbishop songea BT naskia kmefngiwa kwel jaman???
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Sasa kama wewe umekubaliana na uamuzi wa mwanao kusoma sayansi kwa kulazimishwa basi pole, ila acha mimi nitafute pesa kufa na kupona kumpeleka mwanangu nje ya nchi kusoma anachokitaka, akapate...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama kunamtu yuko karibia na NMB mjini atufahamishe ili nasisi Walimu WA KANADI SIMIYU tuelewe.
2 Reactions
90 Replies
11K Views
Jamani naomba kufahamu kuhusu mikopo ya elimu ya juu kwa wale waliotoka makazini ipo kweli mana kuna blogger mmoja hivi ka post kudai mwaka uu au wale continues wanaweza wakasitishiwa mikopo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimesoma
0 Reactions
2 Replies
805 Views
Habari wanaJF, nimetengeneza video ambayo itakusaidia kutumia kirahisi mfumo(system) ya chenjifasta bila kugota sehemu. Karibuni walimu pamoja na wauguzi wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi kwa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu mm ni mhitimu wa afya wa mwaka Jana mpaka sasa ktk kozi za CA/CO hatujapata vyeti wala transcription za matokeo je ni lini wizara itatoa maana sasa hata kuomba ajira private...
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Kwa yoyote anaejuwa ubora wa elimu ya Rwanda ya sekondari naomba anijuze
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari... Kwa alichokisema Simbachawene janaa aisee ina maana tangu Februari wanaujua ukweli wameficha na wanakanusha. Sasa kama sababu ni walimu wa arts si waajiri wa sayansi jamani. Hii...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Nimepata taarifa zisizo rasmi,kama mdau wa elimu Tanzania,kuwa kuna mabadiliko makubwa katika elimu ya msingi yatafanyika hivi karibuni. Mabadiliko hayo yatahusu mitaala,masomo husika na muda wa...
6 Reactions
59 Replies
9K Views
Habarini wakuu, Naomba mwenye mawasiliano ya Kirinjiko Islamic High School anipatie. Natanguliza Shukrani
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Habari wakuu! Kulingana na picha hapo chini kwa vigezo hivyo , kwa mtu aliyepitia diploma ya account na gpa ya 3.9 anaweza chaguliwa hii kozi ya agribusness waheshimiwa? Ahsante
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nawaza kitu gani bora nikasome kati ya medical lab at Kampala international univerau agronomy at sokoine university...... I need your help wakuu,,,, Ahsanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari. Wakuu Naomba nianze kwa kusema Sijui lolote msaada wenu tafadhali. Kuhusu hiyo course na chuo husika. Is it Worth? Msaada wenu wa dondooo muhimu inahitajika Najua kuna wanaojua...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Habarini wanajamvi bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada husika. Nimefanikiwa kuchaguliwa katika CHUO KIKUU Kimoja cha SERIKALI hapa Dar. Sasa sina uwezo wa kulipa kiasi chote cha Ada...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habar zenu, Mimi nilisoma PGM na nimefaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza...sasa nauliza kati ya hizo kozi tajwa hapo juu ipi inaweza kuwa nzuri in terms of kupata nafasi za kazi au kujiajili
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimesoma bachelor of arts with education subjects geography and history je naweza soma master tofauti na education? Kama ipo je ni ipi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani anaefahamu kuhusu foundation course ya kujiunga na OPEN UNIVSRSTY kwa mwenye GPA ya chini ya 3.5 ufafanuzi kuhusu hiyoo course ipoje nainaendeshwajee
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba wale tuliochaguliwa kujiunga chuo cha Ufundi Arusha (ATC) tufahamiane
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom