Habari waku! kuna jamaa yangu katika kulipia hela ya ku apply yeye kalipa Maxmalipo ambayo wana huduma ya TCU pekee huduma ya nacte hawana. na yeye kapitia diploma, je kwa hapo hii risiti...
Naomba msaada wenu wadau katika kujua Programme sahihi zaidi katika vyuo vya Tanzania na uringo wa vyuo vya Africa Mashiriki lakini zaidi soko la ajira kwa Eastern Africa Zone.
Mm mwalimu idara ya elimu msingi nipo kondoa dodoma natafuta mwalimu wa kubadilishana naye kituo cha kazi yeye aje kondoa mm niende karagwe kagera au maeneo jirani na hayo... Nitafute kwa simu...
Wana Jamii wa JF, ni hivi nina kijana wangu alimaliza form IV 2014, na haya ndio matokeo yake:- CIVICS E; HISTORY E; GEOGRAPHY D; KISWAHILI D; BIOLOGY E; B. MATHS F; COMMERCE F; BOOK KEEPINNG F...
Waheshimiwa naombeni msaada
Kulingana na cutting points walizitoa TCU mie nina point saba yani BB+ in chemistry and biology f6 2015. Niombe chuo kipi kwa MD?
Siku kama ya Leo mwaka 1911 huko London yalizuka mapigano baina ya polisi na wahamiaji wa latrivia baada ya kiongozi we kundi LA wezi kuuwawa baada ya kuiba katka maduka ya Vito vya thamani huko...
we have East African Business Database available now.
Contains the following information:--
1. Company name and address.
2. Contact person and title.
3. Postal address, city and region.
4...
Habar zenu wana janvi....
Polen na majukumu ya kila sk na hongeren kwa kuwajibka kila siku.
Mmi nimeleta uzi huu kwenu nikiomba kujuzwa hili : hii koz ya secretary soko lake katka ajira ipo vip...
Habari zenu wadau. Wale wote tuliowahi kufukuzwa shule tupite hapa.
Tujikumbushie ni changamoto zipi tulizopata baada ya kufukuzwa na ni mara ngapi ulifukuzwa shule na kwa kosa lipi.
Karibuni...
Jamani jee hilo swali katika hiyo picha mtoto wangu amepata au amekosa ?
Kwa uelewa wangu mimi 2/4 ni nusu yaan half..
Sasa kweli hii ni sawa au ndo mwanangu ananywesha sumu..
Ipi sahihi hapo...
habari! naamini kuwa wote ni wazima wa afya leo nilikuwa naomba kujuzwa hii programme inahusiana na nini je kazi yake hasa kama nikisomea nitaajiriwa maeneo gani pia kama nani???hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.