Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu wote walioomba kudahiliwa katika kozi za cheti na diploma na Umma kwa ujumla kuwa lilifunga dirisha la maombi mnamo tarehe 13 Agosti...
Habari!!
Naomben unisaidie kunipa list ya shule za o level ambazo mwanafunz anawez soma kwa vitendo zaid ...
Nina Mdogo wangu anapenda sana mambo ya electrical na anauwezo mkubwa sana wa ku deal...
Historia inajaribu kueleza kuwa kuna jamii zakiafrika ambozo mfumo wake wa urithishaji umeegemea kwa mama, watoto wanaozaliwa huwa wanatumia jina la ukoo wa mama (mother's surname). Mf; wa jamii...
Habari bandugu wana jamvi wa JF
Mimi ni kijana 22, ninategemea soon kua first year kwa Course ya Transport & logistics au IT. Lakini ndoto yangu kubwa ilikua ni kua pharmacist Je ninaweza kusoma...
Habari... Nimependa kuuliza kuwa Wahitimu walio maliza 2015 na 16 katika vyuo vya ualimu wataajiriwa link?? Maana serikali yetu haina tamko maalumu,, hivyo mwenye uelewa sahihi tufafanulie kwa...
Wadau habarini za mchanga. Ninakuja kwenu wadau kuomba kupata sheria inayozungumzia kupewa barua ya majukumu ya mwalimu ya kazi.
Asanteni nategemea kupata msaada kutoka kwenu wadau.
Habari kwenu wana taaluma.....
Nikiri kuwa nimezaliwa katika familia yenye uwezo wa chini sana hali iliyopelekea wazazi wangu kutumia kila walichokuwa nacho kuhakikisha nasoma. ilikuwa ngumu sana...
TCU wameweka tangazo online kuwa wale wenye diploma wanaotaka kujiunga na vyuo mbalimbali kwa ngazi ya degree watafungua kwanzia Jumatatu tarehe 15. 8. 2016
Utaratibu wa kuwapatia watumishi posho za likizo tofauti n maombi yao ni sahihi?Mathalani Mtumishi anaomba kwa vielelezo sahihi lakini anapewa posho kidogo tofauti na barua yake ya maombi je hili...
mwenye kufahamu chuo chochote cha ualimu arusha na moshi chenye ada nafuu ambayo ni chini ya laki 8 kwa mwaka
nataka kusoma diploma in primary education
pls nisaidieni
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.
Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.
Pia huu...
Nina ndugu yangu anasoma chuo cha afya mbweni Zanzibar Clinical Officer, tar 5/9 anaingia mwaka wa pili, wao kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa 2 wanafanya mitihani inayotungwa NA chuo ila wakifika...
eti ni kweli medical students are not creative than engineering students ........
lakin napata mashaka kwani kuna maengineer wengine waliosoma miaka minne tena elimu ya chuo kikuu mechanical...
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu wote walioomba kudahiliwa katika kozi za cheti na diploma na umma kwa ujumla kuwa lilifunga dirisha la maombi mnamo tarehe 13 Agosti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.