Habar wakuu?
samahani mi nauliza ka kuna chuo ambacho mpaka leo hii tareh 09/09.2016 hawajapata pesa ya field ile first installment yani 310K.case angu imebase zaid kufahamu kama hadi leo hiki...
Habar zenu wakuu..mdogo wangu ameaply coz ya procurement na tayar alikuwa na certificate ya hyo procurement. Majibu kutoka nacte akaambiwa aombe kozi zingine. Sasa analia tu kuanzia jana anahisi...
Nimeona wale wa form 6 tayari wameshatoa majibu kwa baadhi yao,Vipi diploma holders zinatoka lini kwa wale waliomba kwenda degree?au kuna mwenye taarifa yoyote ile kuhusu ilo?
Wakuu, Nimechaguliwa kujiunga na chuo cha ADEM bagamoyo kwa level ya diploma, naomben msaada kwa yeyote aliyechaguliwa hapo na ameshapata Join instruction au namba ya simu ya wahusika ili tufanye...
Wandugu.... Nikiwa mmoja wa majipu kutoka udom now up to songea.... Saana nataka tufaamiane waalimu wenzangu LAKINI pia kwa walio huko chuoni na kwa wanaofamu japo kuzoea mazingira ya chuo na...
Wadau,
TCU selection kwa vyuo vyote itatoka baada ya 25 mwezi huu, maana kwa sasa majina ya waliochaguliwa yamepelekwa kwa vyuo husika ili wayapitie, then watayarudisha majina hayo kwa TCU tarehe...
Habari wana jf naomba msaada wa anaejua jinsi ya kujiunga na ualimu wa shule ya msingi kwa level ya labda certificate ama diploma ya shule ya msingi vigezo ni nini msaada tafadhali
Ndugu wana jamvi na masikitiko makubwa kila siku Mimi ni mtu wa chai tu kunywa pesa yangu ya mkopo ilienda udsm wakati Mimi nimechaguliwa chuo kingine Yaani inaniuma sana naeenda bodi wananieleza...
Naomba uulize hii course inaitwa bachelor in ecinomics-economic policy and planning
nimekopi ka ilivyo rafiki yangu amechaguliwa hiyo na anauliza inahusu nn ,, yani inshort details in all...
Plz wakuu binafsi nmechaguliwa ordinary diploma ya pharmancy but mm nilitamani sana nisome clinical medicine lkn baada ya kuomba ushauri kwa watu walionitangulia wakanigusia pia medical labaratory...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.