Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ndugu zangu ngoja nitoe Msaaada kidogo maaana naona watu wanalalamika sana na hii yote ni sababu ya kutokujua michakato gani inatumika kudahili wanafunzi vyuo mbali mbali Somo kwa waombaji wa...
0 Reactions
1 Replies
799 Views
Mambo muhimu yanayochangia mtoto kupata elimu, yaani : (1) ajue kusoma na kuandika, (2) hisabati msingi (3) elimu ya maarifa mbalimbali kwa maisha ya umri wake. Yafuatayo yachukuliwe kuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Za asuhuhiii, Nimekua nimesikia mijadala mingi humu jukwaani kuhusu hiyo lugha ya malkia, sasa nilikua naomba ufafanuzi, je kwa wale wa sanyansi hii lugha ni shida je kinaweza kua chazo cha...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Je renewble energy technology kwa hapa tanzania kunaajira??? kama zipo na unakuwa unajishughulisha na nini zaid?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
The Eni Award annually honors the best research projects in the field of energy and sustainability and is addressed to scientists and researchers from around the world. Prizes include: - The...
0 Reactions
0 Replies
545 Views
Salaam, Nikiwa kama mdau wa elimu naipongeza sana Serikali hususani TAMISEMI kwa kuja na huu mpangi ambao kwa maoni yangu ukitumika vizuri utasolve matatizo makuu mawili. Kwanza utasolve tatizo la...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nauliza kama kuna uwezekano wa kuhama faculty unapokua tayar selected kwenye chuo fulani kama unavigezo vya Hiyo faculty nyingine....sanasana kwa kwa chuo cha SUA
0 Reactions
3 Replies
832 Views
Nilikuwa nataka nichukue kozi ya mass communication tatizo wamenambia natakiwa niwe na credict ya English sasa mim nina D, je nahesakabika kuwa nina credit au vip?? Msaada tafadhali
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tupeane updates
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wanabodi leo nimesikia magazeti yakitangaza kuwa walimu na wauguzi wachuana ongezeko la mishahara, plz mwenye upeo wa kudadavua atujuze, Good morning
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ugumu/wepec wake katika kuisoma,soko lake.. na maeneo yake ya kupigia kazi
1 Reactions
1 Replies
2K Views
NI Kwa dhahili kabisa Bodi ya vyuo Tanzania ni jipu, Kwa hizi siku za karibuni TCU wamethibitisha hawapo serious na majukumu yao. Ikiwa kwa kupitia Website yao wenyewe walihakikishia umma kuwa...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Mbona hawaoneshi faculty na chuo walichokupangia au ndo inabidi tusubir tena...? Na kama kusubiri ni kwa muda gani..? Msaada wadau
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Huu wimbo wa ajira imekuwa gumzo sana hasa pale tunapopata tetesi tofautitofauti na Leo tena nmepata tetesi kwamba wanaopata ajira ni sayansi na wale waliosoma shahada ya science ambayo so...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jana nimeApply Second selection course nne lakini baadae nikaja nikafuta zote ili nianze mwanzo lakini nashindwa kuAdd programmes coz ile sehem ya kuDisplay programmes ipo empty lakini naletewa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
za asubuh,mwenyew uelewa wowotee na CoNas naomba anisaidie je kunachangamoto gani pia naweza kuzikabilj vp hasa kwenye department ya geology????
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shikamoni wakuu, natumaini asubuh hii mko vizuri kabisa aseeh samahani sana anaefaham hicho chuo hapo juu ni lini hasa wanaanza mwaka mpya wa masomo pia namna ya kupata joining instruction form...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Nianze kwa kuwapongeza kwa kufaulu vizuri, HONGERENI. Napenda niwape angalizo ndugu zangu, ikitokea umekosa selection for the first round tafadhali usikurupuke kujaza ilimradi chuo chochote...
6 Reactions
77 Replies
8K Views
Wakuu wakati tuna subir post za TCU eb tujikumbushe machache tukiwa shule ya msingi. Karibu.
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanabodi naomba kuuliza ukiingia kwa profile yko ni sehem gan wameonyesha umechaguliwa coz nmeingia lkn cjaona kitu chochote
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom