TCU imemaliza udahili kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa awamu ya kwanza jumla ya waombaji walikuwa 55,347 waombaji wenye sifa walikuwa 47,203 katika waombaji wenye sifa waliopata nafasi ni 30,731...
Wanachuo waliofukuzwa UDOM wa special diploma ambao walikuwa hawana vigezo vya kusoma pale serikali iliwapangia vyuo vya walimu vya kawaida mfano Butimba TTC, Kasulu TTC, Korogwe TTC serikali...
Wanajamiii wote
Tukumbushane mwisho wa kufanya maombi kwa tcu cas ni kesho saa 6 usiku.
Upatapo taarifa hii mjuze na mwingine.
Hii inawahusu wa F6 Diploma.. Na RPl
Habari zenu wadau....
Nimehitimu kidato cha sita, nimepata division 3. Nimeomba kozi ya sheria ngazi ya diploma ktk vyuo mbalimbali kwa mfumo tofauti. Kwanza niliomba chuo kimoja hapa mkoani...
Nimechaguliwa diploma ya clinical medicine katika chuo cha CLINICAL OFFICER BUMBURI-LUSHOTO TANGA,,, mm chuo sikifahamu je mazingira yake ufundishaji wake ntaweza pata hiyo GPA YA 3.5?? ...
Juzi niliapply vyuo kwenye profile langu . halaf Jana nika remove ili niweke vyuo ambavyo Havana ushindan. baada ya kuremove nikijaribu Ku apply upya list ya vyuo haiji mpaka sasa hiv nimekesha...
habari za asubuhi wana jf..
Nina somea computer science level ya
degree,nahtaji kufahamu material,njia Na sehemu ambayo nitapractice hizi cozi vizuri kwa muda wangu wa ziada pia naomba guidance...
Ni miaka miwili imepita tangu nimalize masomo yangu hapo dit shahada ya uhandisi umeme.Tatizo ni kwamba kumekuwa na ucheleweshwaji wa utoji wa vyeti kwa wahitimu.Huwa najiuliza hivi hawa viongozi...
Hakika swali juu ya kubadilika kwa vigezo vya kujiunga chuo kikuu baada ya ma badiliko ya kutoka GPA ya 3.5 hadi 3.0 limenifanya niwe makini sana kujua majibu ya serikali.
Lakini majibu ni...
Habarini za weekend wana jamii forum
Naomba kujua idadi ya kuchagua vyou ni ngap? Na kila chuo kimoja naruhusiwa kufanya chaguz za course mwisho ngap?
Kwa mfano mm nimechagua;
1. St. Augustine...
Nimetemwa first round
Nataka niendelee kusoma sayansi chuoni
Nimemaliza pcm nikiwa na DDE
Kama in mzoefu naomba nishauri
Kidogo ili niweze kuchaguliwa
Kama una idea ya faculty yoyote nili niweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.