JAMANI KUNA NDUGU YANGU KACHAGULIWA MASASI COTC KAMA DIPLOMA IN CLINICAL OFFICER (IN SERVICE) LAKINI CHA AJABU JOINING INSTRUCTIONS HAJATUMIWA NA NAMBA YAO HAIPATIKANI NINGEOMBA MSAADA WA...
Kwa Upande wa shahada nafahamu utaratibu uliyo, ila nataka ufahamu kidogo kwa diploma.
Iwapo mtanzania akiamua kwenda kusoma diploma nje ya nchi, je diploma yake itatambulika hapa kwetu? anaweza...
Kama Ulichagua first choice b com in marketing ya udsm afu chagua second choice ya bcom in human resource hapo udsm wakakuchagua second choice je ukifika chuo unaweza kubadili kwenda bcom in...
Habari za siku wakuu. Je kwa matokeo haya kwa PCM nilipata CCC. Nilikosa 1st round sasa nimeapply second round computer science udsm, computer science IFM, Geoinformatics Ardhi na IT IFM. Wakuu...
WAKUU HABARI.
Hapa tunataka kupeana ma info. ya mwenendo mzima wa kuomba vyuo na course zenyewe make mda nao ndo huo unayoyoma maana wengine tulikua tumepotezea elimu ya juu. ahsante!
Wakuu profile zetu kwa watu wa diploma zinafunguka hadi kwenye view choosen programs lakini sielewi elewi maana niki-view program katika vyuo nilivyochagua nakuta baadhi ya program admission...
RE: REVISED DECISION ON MINIMUM ADMISSION ENTRY QUALIFICATIONS FOR UNDERGRADUATE STUDENTS
The Tanzania Commission for Universities (TCU) through the earlier public notice issued...
Habari wanaJF, nahitaji mwalimu wa arts naomba anitafute sasa hivi maana kesho saa 10:00 kamili asubuhi anahitaika awe anafundisha. Kwa mawasiliano nichek 0755429928.
Walimu waliopo dodoma tu.
Habari za sa hizi wanajamvii huu Uzi ni kwa ajairi ya applicants walio chaguliwa sua au kwa yeyote anayesoma au ata kukifahamu hiki chuo vizuri
Lengo Ni kujua changamoto za pale na jinsi gani...
habari wana JF....naomba mnisaidie majibu ya swali langu.....jee kama unasomea technicians in animal health and production kwa ngazi ya cheti....ajira zipo au ni za kusuasua.....??majibu yenu...
Naomba kufahamishwa kama kuna mtu aliyetumiwa joining instruction kwa wale waliochaguliwa second selection,kwani kwenye profile la mdogo wangu hakuna chochote kinachoendelea zaidi ya kuandikiwa...
Habar za wakat huu,
Mimi ni kijana ninayesoma college ngazi ya diploma nnaishi mbali kidogo na wazaz wangu na kutokana na kutokana na kuendelea na masomo huwa nahitaji msaada wa pesa ya ada na...
Habarini wakuu,
Please nilikuwa naombeni msaada wenu, kuna ndugu yangu amemaliza kidato cha nne mwaka jana 2015 amepata division 3 ya 25 but hakuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano,
Nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.