Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
habari za wakati wana jf selection nacte ziliisha toka kwa wale tuliomba ualimu vyuo vya selikari naomba kujua je profile zenu zimeandikwa diploma in primary education (prr sevirce) ni techinician...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
IJUE TOFAUTI KATI YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA YUU (HESLB) NA TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU) Waungwana nawasalimu Kumekua na mkanganyiko mkubwa kwa baadhi ya watu /wanafunzi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuteleza sio kuanguka TCU mengi mnayoamua ni ya hovyo sana hapa HAKI itakuwa haijakamilika kama hamtarekebisha na cutoff points kwa form six graduates. Kumbukeni maamuzi mliyatoa kwa wote Diploma...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Mi nimefanya mtihani wa form 6 kama private candidate mwaka huu HGK nikapata 2.10. Ila nilipoomba chuo TCU wakanitema, je inawezekana ni kwa sababu nilifanya mtihani km PC na ni wengi au tatizo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
kwa first year wote waliochaguliwa udom-college of informatics and virtual education (CIVE) 2016/2017 tukutane hapa uliza swali lolote utajibiwa! karibuni sana na hongereni sana kwa kuchaguliwa...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Hii kozi imekaaje
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarin wana jf, naomba mwenye kujua bei ya kitabu cha Anatomy (rose&wilson) physiology ,Madukan
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mbona majina ya selected students IFM yamesepa tena...tatizo ni nini?? #Msaada please..!
0 Reactions
3 Replies
780 Views
Kuna mambo mengi ya kuyaongelea kuhusu UDOM lakini jambo mojawapo ni kwamba UDOM haijawahi kuwa na uhaba wa hostel hivyo vyumba vya kulala vipo bwelele mpaka kuna vyumba watu wanaishi wawili tu...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Jaman ndungu zangu kwa anaeifahamu kozi hii ya mechatronics engineering anijuze vizuri ..... Na vipi kuhusu soko la ajira kwa sasa inalipa? Na je unaeza kujiajiri wapi ?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nimechaguliwa certificate of clinical medicine lakn kaagzwa nipeleke vfaa hv ,clinical thermometer,stethoscope,glucometr,na Bp machine manual, include vtabu vya physiology na anatomy, naomba kujua...
0 Reactions
26 Replies
1K Views
wakuu habari zenu Anaeuza vitabu tajwa hapo juu naomba tutafutane kwa namba 0625663714
0 Reactions
0 Replies
558 Views
Jamani ni kweli second selection za TCU zishatolewa ama bado wana jf????
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nmeulizwa hatma ya kusoma Community Development sijapata jibu. Naomba msaada wenu.
1 Reactions
21 Replies
13K Views
naombeni kuuliza baada ya hii round ya kesho kupita wanaweza kuongeza siku nyingine ya kuaapply kwa wale ambao hawakupata nafasi katika hizi round zote zilizopita? msaada tafadhali
0 Reactions
3 Replies
821 Views
Hi! Mimi ni miongoni mwa wanaosubiria ajira ya ualimu mwaka huu. Lakini nilifanya application ya kufundisha MIEZI 3 nyuma katika shule ya private. Juzi tu nimeitwa nimeambiwa napewa mkataba...
1 Reactions
5 Replies
893 Views
Wadau hivi ukihitimu diploma kwenye vyuo vya wizara ya mifugo na uvuvi, kuhusu ajira ni moja kwa moja kama ualimu au adi utafute?
2 Reactions
5 Replies
8K Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha iringa university nasoma diploma ya procuremnt and material management mwaka wa kwanza na mwezi wa kumi naingia mwaka wapili lakini nimeshindwa kupata ada ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mm nmechaguliwa IFM bsc in computer science n nahitaji rafiki ambaye tutaweza kupanga wote one room at upanga, kigamboni, posta or kurasini
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Back
Top Bottom