Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Watumishi Wa Umma Watakiwa Kujiandaa Kwenda Kufanya Kazi Kokote Nchini Watumishi Wa Umma Watakiwa Kujiandaa Kwenda Kufanya Kazi Kokote Nchini - MUUNGWANA BLOG
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamn napend kuuliz kwamb mbon joining instruction n moja tu vyuo vyote alaf inaonekan ipo incomplete maan hawajaelekez mahal chuo kipo na pia account y benki n moja au pengine hii maswayetu blog n...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu mbona najaribu kufungua profile yangu inagoma?msaada
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naombeni kujua mwanafunzi anayesoma combination ya HGE anaweza kuja kufanya kazi gani baadaye????
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mambo zenu?, kuna mtu anayejua lini majibu ya mkopo wa chuo? maana naona vyuo vinakaribia kufunguliwa ila kuna watu hawajajua kama wanapata ama lah
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa anaejua transfer za NACTE wanatoa baada ya kwenda chuo au inakujue wakuu tujuzane??????
2 Reactions
2 Replies
764 Views
Inanishangaza hii kila aliekosa nafasi kwa first round ni mwenye div2 sijasikia mwenye one au three ya mwanzo yaani DDE wanalalamika au wanaomba msaada wa second round AU TCU WAMEWABANIA KWA...
3 Reactions
95 Replies
10K Views
Je ni kweli kwamba loan board wakisha funga mahesabu yao ya mwaka mwanafunzi unae dai pesa ya kujikimu hutalipwa fedha zilizo salia katika mkopo wako kwa mwaka huo?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwangu mimi naona hii sio comb ya kukimbilia kwa sasa kwani kila mwenye uwezo wa juu ana ndoto za udaktar, sasa angalia vyuo vyetu vya udaktari na ada zake ni hatari, huyu PCB anapata div 2...
3 Reactions
23 Replies
6K Views
Kwa wale Mliochaguliwa NIT first Year 2015 tuktane hapa Tupeane UPDATES maana nashanga WEBSITE YA CHUO ipo Down More than 3 weeks . Hawa jamaa wapo serious Kweli?
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Najaribu kuapply chuo kupitia nacte but nikiingiza Reg. number ya diploma inaniandikia data base not found....plse naomba wenye kujua tatizo wanisaidie
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni tuition ipi nzuri kwa masomo ya Chemstry na Biology iliopo Mkoani Morogoro. Msaada juu ya hilo.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
23Septmber ndio hii nasubiri muda uishe tujue hatma yetu!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
The World's Fittest Children Are From Tanzania, Study Reveals
1 Reactions
0 Replies
743 Views
Jaman wakuu naona sipo kwnye hi selection maana naandika username inakataa na kwenye profile yangu hawajanambia chochote.nifanyeje labda.[emoji24]
0 Reactions
20 Replies
4K Views
.
0 Reactions
4 Replies
945 Views
Kuna mtoto wa kijijini kwetu huku Serengeti ambaye alipungukiwa sifa ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu mwaka juzi lakini katika uchaguzi wa pili alifanikiwa kuchaguliwa kusoma kozi ya digrii ya...
2 Reactions
81 Replies
13K Views
Nahitaji mwl Wa kubadlishana kituo cha kaz idara ualimu secondary aje kagera kyerwa Mimi nije mikoa ya kusini hasa njombe ,iringa,morogoro,mbeya na wilaya zake au ruvuma .namba0762579731
0 Reactions
3 Replies
864 Views
Ivi bodi ya mikopo imetoa sababu za kutupatia fedha za field nusu nusu??ni kwamba pesa hamna au wana sababu gani kufanya hivyo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
msaada tafadhali kuhusu hii campus ya mbeya mazingira ubora wa course hasa BAED Uwezekano wa kupata mikopo n.k msaada wa haraka bandugu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom