Katika kuunga mkono jitihada za kuunga mkono sera ya elimu bure nchini Tanzania Ubalozi wa Marekeni nchini umeleta walimu 51 watakaofundisha masomo ya Sayansi, Hesabu na Mazingira kwa kipindi cha...
habari, wadau
Napenda kufahamu vyuo vinavyofundisha kozi za jioni hasa kozi ya bachelor. Nafahamu chuo cha CBE wanafundisha kozi za jioni na chuo cha IFM wanafundisha kozi za jioni. ningependa...
Habari wanajamvi,
Nimepata habari kuwa kutokana na vyuo vikuu vingi kukosa wanafunzi wa kutosha kutokana serikali kuweka viwango vipya vya ufaulu imeilazimu serikali kupunguza viwango hivyo ili...
Wana JF naomba kuuliza mbona hii faculty ya Commerce in tourism and hospitality haipo kwenye list ya faculty kwenye first batch ya udom lakn kwenye prospectus yao ilikuwepo
Naombeni kufahamishwa,mimi ni mwalimu wa shule binafsi tangu mwaka 2008 nilipangiwa shinyanga vijijini sikuweza kwenda kwasababu nilitakiwa kuwa karibu na mama mzazi aliyekua hospitalini kcmc...
Kuna wanafunzi ambao wanaweza kwenda kusoma kozi mbalimbali katika nchi za Uingereza au Marekani, lakini huishia kulipa mamilioni na mamilioni ya fedha zikiwa ni gharama za masomo (Tuition fee) na...
UDOM:The 1st Statistical Conference, November 17 – 18, 2016
Department of Statistics, The University of Dodoma
Statistics has wide application in different fields of human activity. It has a...
Mimi kabla sijamaliza f6 nilikuwa najua mtu mwenye ufaulu wa wastani kama division two ya 10-12 anaweza kupata chuo cha serikali kama DUCE, MUCE au hata UDOM nikajitahidi kadiri ya uwezo wangu...
Pole kwa majukumu ya kutwa nzima jamani samahani naomba ufafanuzi kupata dhima ya mofimu 'li'katika neno limeshikilia
Kwa sababu kuna mdahalo hapa kuna watu wanasema kama mzizi wa neno' shik '...
you have been provisionally selected .the programme selection shall become final after the university /instution confirm you for admission
be advised that the final confirmed result will be made...
Jaman ndg naomben msaada kwa mwenye experience na hiz sec round applctn kutoka kwa hawa tcu huwaga majibu yao yanatoka mda gan au inadepend na idadi ya watu waliorudia bas kwa anayeelewa lolote...
Wadau hapa NACTE kuna nini? Application haziendi, wanafunzi wameshindwa kutuma maombi. Ukiapply unaweza maliza siku nzima bila kufanikiwa. Mtandao wao uko chini.
Wenyewe hata hawana majibu na...
Kutokana na wanafunzi wa kitanzania kuhusika na usafirishaji wa mihadarati baadhi ya vyuo vya nje vimeamua kuwakataa wanafunzi wa kitanzania. Chanzo :STAR TV HABARI
Hapa ndo nimegundua ukweli kuwa waliokuwa wananiongopea kuwa washachaguliwa kwa awamu ya pili ni waongo na walikuwa wanataka kuniua kwa pressure maana awamu ya kwanza nilikosa na awamu ya pili...
Nimechagua kozi ya information technology nipo chuoni tayari lakini nakutana na changamoto ya hesabu,hesabu ndio somo pekee lilikua likinitoa jasho o-level marks ya juu kabisa niliyowahi kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.