Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

KENYA ABDALLAH HASSAN KATIBU MKUU WA KWANZA MUISLAM WIZARA YA ELIMU AMEFARIKI Kenya Abdallah Hassan nimemfahamu toka utoto wangu Moshi katika miaka ya 1960. Siku hizo mimi nikiwa shule ya msingi...
8 Reactions
120 Replies
11K Views
Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka...
22 Reactions
179 Replies
40K Views
Tunapo sherekea Pasaka tukumbuke Martin Luther aliuwawa tarahe kama ya leo mwaka 1968.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Katika watu ambao nimekutananao na kuwakuta wana maktaba kubwa za kushangaza, nitawataja watatu wengine nitawabakisha kwa siku nyingine In Shaa Allah. Marehemu Sheikh Mohamed Ayoub wa Tanga siku...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
PICHA HIZI ZA JENGO LA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA ZINASEMA MANENO ELFU MOJA Picha hizo hapo chini za majengo mawili ya Al Islamiyya fi Tanganyika zimekuwa ndani ya Maktaba kwa zaidi ya...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
MUDDYB MWANAHARAKATI MWANDISHI KIJANA ALIYE NA KALAMU INAYOSEMA Kawaida ya kalamu kama itasikika basi mlio wake ni nibu inakwaruza karatasi. Lakini si kalamu ya Muddyb. Hii "b" ambayo...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Ka kuna mtu humsikia akitajwa Mara nyingi zaidi ya lundo, Nn huyo bingwa hapo. Ila ndo sijawahi pata mjuzi aliejuzwa barabara taarifa zake Ila nae aniambukizie kiaina. Kwa yeyote mzalendo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sheikh Ilunga akiendesha darsa Thakafa Mwanza 2010 Sheikh Ilunga alikuja Tanga katika miaka ya katika ya 2000 na alikuwa anafanya mihadhara yake katika msikiti mmoja mdogo kwani viongozi wa...
6 Reactions
36 Replies
6K Views
Historia ya Tanzania ilianza na wakoloni wa Ulaya. Karne ya 18 ilikuwa na dola ndogo za miji katika mwambao baada ya kukaliwa na waarabu kutoka Oman. Ilikuwa karne 7 baadae mwaka 1499 wakati...
4 Reactions
26 Replies
5K Views
Historia ya Tanganyika na kwa makusudi nataka nianze na hii kwa kuwa mimeitafiti na kuandika kitabu ambacho naamini sote tunakifahamu. Umuhimu wa historia hii unasimama kwenye historia ya kudai...
1 Reactions
0 Replies
800 Views
Kijue kisa cha bwana Josef Fritzl, baba mzazi aliyemshikilia bintiye mateka kwa miaka 24, bila kuona jua wala mwanga wake, akambaka zaidi ya mara 3000 na kumzalisha watoto 7 huko nchini Austria...
16 Reactions
78 Replies
11K Views
TUTEMBEE KWENYE BARABARA YA KUMBUKUMBU KUTOKA USUKUMANI KWA CHIEF MAKWAIA MOHAMED MWANDU (1905 - 1945) HADI KARIAKOO KWA ABDULWAHID KLEIST SYKES (1924 -1968) Chief Makwaia Mohamed Mwandu ndiye...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari za asubuhi! ningependa jua huyu aliyeko katikati ya Nyerere na huyo mzee mwingine ni nani huyu? Kwa sasa yuko wapi? ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
6 Reactions
62 Replies
12K Views
Mwenye kujua kabila hili chimbuko lake ni wapi anijuze mana nimesikia walikuwa na mfalme aliyeitwa Huihui au mfalme Juha! Wanatoka maeneo gani hapa Tanzania. Nahitaji kujua historia yao kidogo.
0 Reactions
40 Replies
19K Views
Habari wadau! Tuko kwenye mjadala hapa! Wapo wanaodai ni mwalimu nyerere wengine wanasema ni Mboma, wengine wanasema ni Rais Moi! Je, ni nani aliyetunga wimbo huo uliosikika kwa maneno "Iddi...
5 Reactions
48 Replies
8K Views
KALAMU YA IRVING WALLACE ''THE MAN'' INAPOGEUKA JINAMIZI Huyu Irving Wallace alikuwa akiandika riwaya ambazo zina mengi ya ukweli kiasi unaweza ukachukua ''plot'' ya kitabu chake ukabandika...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
STAN LAUREL NA OLIVER HARDY Hii nimeikuta kwenye group moja. Imenirudisha nyuma zaidi ya miaka 60 utotoni. Tukiwaita hawa wachekeshaji Chale Mnene na Chale Mwembamba. Chale Mnene Oliver Hardy...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
AKILI INAPOKATAA KUAMINI UKWELI Dickens alianza kitabu chake, ''A Tale of Two Cities.'' na maneno haya: ''It was the best of times, it was the worst of times, it was the age of wisdom, it was...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Bi. Khadija Nkomanile ndiye mwanamke pekee aliyenyongwa na Wajerumani kwa kushiriki wake katika vita vya Maji Maji (1905 - 1907). Wakati tunawaadhimisha wanawake ni muhimu tukamkumbuka mama yetu...
11 Reactions
71 Replies
45K Views
Ganvie ni kijiji kilichopo kwenye ziwa huko nchini Benin ambacho kiko katika Ziwa Nokoué, karibu na Cotonou. Kikiwa na idadi ya watu karibu 20,000, kikielezwa kuwa huenda kikawa ndio kijiji...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom