KENYA ABDALLAH HASSAN KATIBU MKUU WA KWANZA MUISLAM WIZARA YA ELIMU AMEFARIKI
Kenya Abdallah Hassan nimemfahamu toka utoto wangu Moshi katika miaka ya 1960.
Siku hizo mimi nikiwa shule ya msingi...
Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka...
Katika watu ambao nimekutananao na kuwakuta wana maktaba kubwa za kushangaza, nitawataja watatu wengine nitawabakisha kwa siku nyingine In Shaa Allah.
Marehemu Sheikh Mohamed Ayoub wa Tanga siku...
PICHA HIZI ZA JENGO LA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA ZINASEMA MANENO ELFU MOJA
Picha hizo hapo chini za majengo mawili ya Al Islamiyya fi Tanganyika zimekuwa ndani ya Maktaba kwa zaidi ya...
MUDDYB MWANAHARAKATI MWANDISHI KIJANA ALIYE NA KALAMU INAYOSEMA
Kawaida ya kalamu kama itasikika basi mlio wake ni nibu inakwaruza karatasi.
Lakini si kalamu ya Muddyb.
Hii "b" ambayo...
Ka kuna mtu humsikia akitajwa Mara nyingi zaidi ya lundo, Nn huyo bingwa hapo.
Ila ndo sijawahi pata mjuzi aliejuzwa barabara taarifa zake Ila nae aniambukizie kiaina.
Kwa yeyote mzalendo...
Sheikh Ilunga akiendesha darsa Thakafa Mwanza 2010
Sheikh Ilunga alikuja Tanga katika miaka ya katika ya 2000 na alikuwa anafanya mihadhara yake katika msikiti mmoja mdogo kwani viongozi wa...
Historia ya Tanzania ilianza na wakoloni wa Ulaya. Karne ya 18 ilikuwa na dola ndogo za miji katika mwambao baada ya kukaliwa na waarabu kutoka Oman. Ilikuwa karne 7 baadae mwaka 1499 wakati...
Historia ya Tanganyika na kwa makusudi nataka nianze na hii kwa kuwa mimeitafiti na kuandika kitabu ambacho naamini sote tunakifahamu.
Umuhimu wa historia hii unasimama kwenye historia ya kudai...
Kijue kisa cha bwana Josef Fritzl, baba mzazi aliyemshikilia bintiye mateka kwa miaka 24, bila kuona jua wala mwanga wake, akambaka zaidi ya mara 3000 na kumzalisha watoto 7 huko nchini Austria...
TUTEMBEE KWENYE BARABARA YA KUMBUKUMBU KUTOKA USUKUMANI KWA CHIEF MAKWAIA MOHAMED MWANDU (1905 - 1945) HADI KARIAKOO KWA ABDULWAHID KLEIST SYKES (1924 -1968)
Chief Makwaia Mohamed Mwandu ndiye...
Wakuu habari za asubuhi! ningependa jua huyu aliyeko katikati ya Nyerere na huyo mzee mwingine ni nani huyu? Kwa sasa yuko wapi? ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
Mwenye kujua kabila hili chimbuko lake ni wapi anijuze mana nimesikia walikuwa na mfalme aliyeitwa Huihui au mfalme Juha! Wanatoka maeneo gani hapa Tanzania. Nahitaji kujua historia yao kidogo.
Habari wadau!
Tuko kwenye mjadala hapa!
Wapo wanaodai ni mwalimu nyerere wengine wanasema ni Mboma, wengine wanasema ni Rais Moi!
Je, ni nani aliyetunga wimbo huo uliosikika kwa maneno "Iddi...
KALAMU YA IRVING WALLACE ''THE MAN'' INAPOGEUKA JINAMIZI
Huyu Irving Wallace alikuwa akiandika riwaya ambazo zina mengi ya ukweli kiasi unaweza ukachukua ''plot'' ya kitabu chake ukabandika...
STAN LAUREL NA OLIVER HARDY
Hii nimeikuta kwenye group moja.
Imenirudisha nyuma zaidi ya miaka 60 utotoni.
Tukiwaita hawa wachekeshaji Chale Mnene na Chale Mwembamba.
Chale Mnene Oliver Hardy...
AKILI INAPOKATAA KUAMINI UKWELI
Dickens alianza kitabu chake, ''A Tale of Two Cities.'' na maneno haya:
''It was the best of times, it was the worst of times, it was the age of wisdom, it was...
Bi. Khadija Nkomanile ndiye mwanamke pekee aliyenyongwa na Wajerumani kwa kushiriki wake katika vita vya Maji Maji (1905 - 1907).
Wakati tunawaadhimisha wanawake ni muhimu tukamkumbuka mama yetu...
Ganvie ni kijiji kilichopo kwenye ziwa huko nchini Benin ambacho kiko katika Ziwa Nokoué, karibu na Cotonou. Kikiwa na idadi ya watu karibu 20,000, kikielezwa kuwa huenda kikawa ndio kijiji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.