Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Kila sehemu walikoenda, lengo kuu la wazungu ilikuwa na kuanzisha makazi napya na kuangamiza jamii ya hapo. Wamewaangamiza wa Aborigines wa Australia hadi wamebaki wa kuhesabu. Huko Amerika...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
MICHAEL LOTITO : MTU PEKEE DUNIANI ALIYEKULA NDEGE YA ABIRIA (aeroplane) Sijajua ni jina gani unaweza ukampa mtu huyu baada ya kusoma kisa chake, ila huko kwao Ufaransa wanamuita bwana mla vyote...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
POSTA HIZI ZINASEMA NINI KUHUSU ZANZIBAR? Nimeitazama picha ya Ismail Jussa akipokelewa uwanja wa ndege Zanzibar akitokea Nairobi kwenye matibabu. Ismail yuko kwenye kiti cha magurudumu...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
KWAHERI KAKA YANGU BURIANI MZUNGUMZAJI WANGU JIMMY MDOE Nilikuwa nakaribia kufunga ofisi yangu ujumbe ukaingia kunipa kifo cha Jimmy Mdoe. Nilifahamiana na Jimmy Mdoe kwa karibu katika miaka ya...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Historia Ya Vita Vya majimaji. MTU yeyote anayeijua vizuri historia ya Tanzania na akabahatika kufika Mjini Songea Mkoani Ruvuma asipotembelea makumbusho ya vita vya majimaji yaliyopo katika eneo...
1 Reactions
20 Replies
42K Views
Habarini wana JF. Nakaribisha maswali maalumu kuhusu wilaya takatifu ya Ileje iliyopo mkoa mpya/ lango la SADC ,SONGWE Karibu mpenzi.
2 Reactions
48 Replies
9K Views
TAFSIRI YA KISWAHILI ''KUVULI CHA BABA ZAO KINAPOWAFUNIKA WATOTO NA WAJUKUU'' Serikali ya kikoloni ilikuwa kila kukicha inabadili mitindo, hila na mbinu za ukandamizaji ili kuendeleza utawala...
1 Reactions
1 Replies
905 Views
Leo asubuhi katika matembezi yangu Maktaba nimekuta picha ya kaburi la Sheikh Haydar Mwinyimvua (1905 - 1987) ambae mwanae Sheikh Ahmed Haydar tumemzika siku chache zilizopita. Picha hii nilipiga...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Katika tafiti zangu za hapa na pale kuna mgodi mmoja mpk leo naona kama vile umesahauliwa kabisa ....mgodi huu upo Afrika mashariki , katika nchi ya Tanzania Mgodi huu unasadikika kuwa ni mgodi...
6 Reactions
26 Replies
8K Views
MKONO WA BURIANI WA MAMA SYKES KWANGU Hii picha nimepiga na mama Bi. Zainab Sykes tarehe 12 January 2021 nyumbani Mbezi. Nilikuwa natoka kufanya kipindi cha Mapinduzi ya Zanzibar, Studio za...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
KUTOKA GAZETI LA JAMVI LA HABARI: KITABU NILICHOSOMA RAJABU KIRAMA JEMEDARI WA VITA KUWA JEMEDARI WA UISLAMU: MOHAMED SAID Na Hafidh Kido NIMEKUWA na utaratibu wa kufanya ziara za mara kwa mara...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Alli Migeyo maarufu kama "ALLI MATATA" ni Mtanzania wa kwanza kupigwa bomu la machozi. Alipigwa mabomu manne ya machozi Desember 2, 1953. Alipigwa mabomu hayo na askari wa kikoloni wa kiingereza...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wengi tumemsikia Mfalme Haile Selasie na kutambua umaarufu wake mara baada ya kuuawa. Nii mini hasa chanzo cha kuuawa kwake?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SATURDAY, SEPTEMBER 15, 2012 IN MEMORIAM The late Hamza K.B. Mwapachu 50 years ago, on 17th September, 1962, Hamza Kibwana Bakari Mwapachu, father to Harith Bakari Mwapachu, Rahma Mark...
8 Reactions
40 Replies
20K Views
Subash Patel nilimjua katika miaka ya mwishoni 1970 au mwanzoni 1980 kupitia rafiki yake Said Ibrahim ambaye mimi pia ni rafiki ndugu. Said ndiye alinipeleka nyumbani kwake. Miaka hiyo alikuwa...
29 Reactions
109 Replies
50K Views
KILIO CHA MJANE WA ALI MIGEYO Mohamed Said June 11, 2017 0 Gazeti la Mwananchi la leo Jumapili 11 June, 2017 imechapa makala inayoeleza hali ya umasikini anayoishinayo Janath Migeyo mjane wa...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Anaandika Alexandr Solzhenitsyn kwenye Gulag Archipelago. Anasema kuwa wakati wa ukomunist huko USSR kulikuwa na mambo ya kushangaza sana. Siku moja katibu wa chama alitembelea mji fulani. Ndani...
3 Reactions
2 Replies
588 Views
Na Alhaji Abdallah Tambaza MKOANI Dar es Salaam, kwenye Wilaya ya Ilala kuna eneo linaloitwa Kisutu, ambalo historia yake inaanzia karne ya 1800 hivi wakati wa Utawala wa Kiarabu wa Seyyid Majid...
28 Reactions
61 Replies
18K Views
Habari wana historia wa JF na wadau mbalimbali, Binafsi nimekua nikiwaza sana ni kwanini walichagua jina la Tanganyika wakati kulikua na ziwa Victoria ambalo ni kubwa kuliko ziwa Tanganyika...
6 Reactions
99 Replies
14K Views
BURIANI SALUM ZAHORO Makala hiyo hapo chini niliandika miezi miwili iliyopita. Naiweka tena tuisome kama kumbukumbu ya Salum Zahoro aliyefariki jana na kuzikwa jana hiyo hiyo: SALUM ZAHORO...
5 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom