Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

[5:21 PM, 1/9/2017] +255 687 500 699: Home Monday, 9 January 2017 Waislam wa Burundi katika harakati za kupigania uhuru wa Burundi Si kwamba Waswahili wa Burundi zama za ukoloni...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Ni kama vile fumbo la imani, kwa wale waamini wa kristu wataungana na mimi kuwa habari za Mungu na uumbwaji wa dunia zilikuja kuandikwa na Musa, na Musa aliziandika kama vile aliziishi ijapokuwa...
3 Reactions
48 Replies
13K Views
SHEIKH ABDALLAH RASHID SEMBE: SHUJAA WA KURA TATU NA UAMUZI WA BUSARA WA TABORA Rai Juni 17-23 1999 KIFO cha Abdallah Rashid Sembe kilitokea Hospitali ya Bombo, Tanga tarehe 22 Mei, 1999. Siku...
4 Reactions
37 Replies
8K Views
MUNGU ANAPOTAKA KUKUSAIDIA, ATAKULETEA MSAADA AMBAO HAUKUUTARAJIA KABISA hili tukio lilitokea June 2005, huko ETHIOPIA lakini nimeshangazwa kuwa very popular hivi karibuni. "Binti wa miaka...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Habari, Hii video imechukuliwa wakati Mwl Nyerere alipoenda Zambia na kukutana na rais wa wakati huo CHILUBA, ambaye alikuwa kamfunga Kaunda, Mwalimu Nyerere akaomba dakika 40 za mazungumzo na...
5 Reactions
33 Replies
10K Views
Mwanahistoria Tunaomba utuleteee Historia ya Mzee Ali Hassan Mwinyi tafadhali na sio haya mambo ambayo yamekuwa diluted tunayopewa na magazeti alikozaliwa career yake familia yake ilikuwaje...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Anaitwa Hadija Bint Kamba, Bint mrefu mweusi mwenye umbo lililosadifu unyamwezi, asili yake ni Tabora ndipo alipotokea Baba yake na Kigoma ndipo wazazi wa Mama yake walipotokea. Ni kama ilivyo...
9 Reactions
22 Replies
5K Views
1698 - 10 Dec 1963 c.1918 - 1955 British Resident's flag ! 1955 - 10 Dec 1963 British Resident's flag 10 Dec 1963 - 12 Jan 1964 12 Jan 1964...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Sheikh Ali bin Saleh Picha kwa hisani ya Hamzah Rijal Utangulizi Hamzah Zubeir baada ya kusoma post. ''Liwali Ahmed Saleh na Sheikh Said Chaurembo,'' ameniandikia kufanya masahihisho kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini wanajf, katika pitapita zangu huku kanda ya ziwa( Mwanza) nikakutana na kabila la wakara, ambao nasikia kuwa ni watata sana ktk mila yaani wanafuga mamba na ukiwazingua tu hunywi maji...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
https://www.google.com/amp/mobile.nytimes.com/2016/12/16/us/politics/hillary-clinton-russia-fbi-comey.amp.html?client=ms-android-samsung
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chifu Mkwawa asingejiua bila kusalitiwa. Kama si usaliti wa mtu aliyemwamini, Wajerumani wasingemuweza Mkwawa. Historia nyingi zinaandikwa uongo ili Wazungu waonekane mashujaa wa vita, ila ukweli...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Utangulizi Rafiki yangu Abubakar Shani kaweka katika group letu ''Kumbukumbu,'' kipande cha gazeti la Mwangaza la Oktoba 5, 1956 ikimuonyesha Liwali wa Dar es Salaam wa wakati ule Ahmed Saleh...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo katika pitapita zangu, nikajikuta namkumbuka marehemu Mzee Laurent Desire Kabila. Mzee aliuwawa katika miaka ya 2000. Swali langu ni nani alimuua?? Pia mwenye kujua elimu na historia ya...
3 Reactions
25 Replies
13K Views
ZUBERI MTEMVU: MPANGAJI MIKAKATI WA TANU NA MUASISI WA UPINZANI Rai Oktoba 28 - Novemba 3, 1990 ======= Alhaj Zuberi Mwinshehe Manga Mtemvu Mpangaji mikakati wa TANU, mhamasishaji wa umma...
4 Reactions
17 Replies
6K Views
Vitabu vyote shuleni vinathibitisha hilo kwamba sisi binadamu tumetokana na sokwe je maneno haya ni kweli ?
2 Reactions
55 Replies
13K Views
Wachagga ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro. Shughuli kubwa ya Wachagga ni biashara na kilimo. Wachagga ni...
6 Reactions
90 Replies
24K Views
Hizi ni simulizi za marehemu babu yangu (Mkiwa), ambae alishirikiana sana na mangi (Yohana) baba yake kama sio babu yake Justin Salakana, zamani hizo robo tatu ya Rombo yaani kutoka mto Ugwasi...
2 Reactions
49 Replies
25K Views
Naanza kwa kusema kuwa X-mass ya mwaka huu n y kukaa hme na familia. Tangu niwe na akili y kufahamu sikukuu ya mwaka huu cjawah kuiona aisee je ww una maoni gani
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Habarini wakuu ningependa kujua sababu za ujenzi na upanuzi wa makazi ya wayahudi ambao kwa muda mrefu sasa umekua ukiendelea kama una majibu tafadhali naomba unielimishe nielewe.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…