wakuu naombeni mjuze hivi hizi hela na mali ambazo wagermany walizifukia chini zilikuwa na maana gani na zilikuwa za ina gani kwa mfano nasikia kulikuwa na moja inatwa rupire
nimeuliza hivi...
TAARIFA KWA UMMA WA WATANZANIA 2009.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinawatangazia wanachama wote wa CHADEMA na umma wa Watanzania wapenda Maendeleo kuwa Mkutano Mkuu wa uchaguzi wa...
Waungwana wa jukwaa letu tamu,ninapenda nifahamishwe vizuri historia ya mwanasiasa huyu John Mnyika mbunge wa Ubungo jijini Dar-es-salaam. Tangu alipozaliwa.shule na maisha kwa ujumla. Ahsante.
Habar wanahistoria!
Wanahistoria, Nauliza Je kunaukweli kuhusu hili la mtu ukitaka kuingia mji wa mwadui huko shinyanga ni lazima uwe na kibali tena unaomba kabla ya ya siku kazaa ili...
kesho viwanja vya tanganyika parkers kunatarajia kafanyika mkutano mkubwa wa chama cha wananchi cuf mnaombwa kuhudhuria wananchi wote bila kukosa.HAKI SAWA KWA WOTE
ngangari ngangari...
Baba wa Taifa,Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(kushoto) akibadilishana na Hayati Sheikh Abeid Amani Karume(kulia)
On April 26, 1964, The Father of Nation Mwalimu Julius Nyerere and the...
"I am not a politician but a professional soldier. I am, therefore, a man of few words and I have been brief through my professional career."
Idi Amin, president of Uganda, from his first speech...
Nimepata baadhi ya habari na ramani kuhusu hapo kale nchi yetu ilikuwa inaitwaje hii isue ya Tanganyika au zanzibar yamekuja tu.
Nimeweka baadhi ya ramani mwenye uelewa zaidi.
South Africa...
Wanaukumbi,
Kilichonifanya nimrudishe shujaa huyu wa uhuru wa Tanganyika ambae
wengi hawamjui ni kuwa nimekuta picha yake katika nyaraka zangu.
Hii picha nimekuwanayo kwa zaidi ya miaka 40...
Tunaomba mwenye hisroria ya raisi wa rwanda paul kagame atuwekee hapa na alihusikaje katika vita vya rwanda na nchi zinazo mzinguka
je ni nini haswa uhasama ulioko kati ya yake na wakongomani?
Ndug wana JF mimi kama mtanzania kwa elimu niliyoipata na uchunguzi wangu wa kina nimegundua yafuatayo kuhusu vita ya Tanzania na Uganda na ningependa wale wasiojua wayafahamu haya;-
Mara baada...
Leo ni tar 14 ya mwez wa kumi kwa unafiki wa wanasiasa wa ccm wakaamua kuifanya siku ya leo kuwa kumbukizi ya kifo cha baba wa taifa hili yaan nyerere day yapo mengi yamesemwa yapo mengi...
Kauli ambazo sintazisahau lowasa alisema akimnukuu mwalimu . Mwalimu alisema nchi hii ina amani watanzania wanajua na dunia inajua. PINDI AKIWA ANAJIUZULU akasema kamati teule ya mwakyembe...
wakuu naomba msaada. nimepita katika kijiwe kimoja nikasikia vijana wanabishana kuhusu mambo ya siasa. kimoja kati ya walichokuwa wanabishana ni kwamba hayati mwalimu nyerere alikuwa havai nguo za...
"Lying is a deliberate attempt not only to conceal, but to conceal well. There is such a thing as a bad, stupid lie, but its outside the scope of this article.
Good lies are crafted, they have...
jamani ivi tembo wamebaki wangapi? Hahaha duh vya ardhn vinakaribia kuisha vyote mfano tanzanite, wanyama duh. Mwisho hadi meno ya mbwa yataunzwa. Wakifanya maskini ni kosa. Kama vp vgawanywe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.