Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

KUMBUKUMBU YA RAMADHANI 8 : MFUNGO MOMBASA NA SHARIFF SALIM ABDALLAH (SAL DAVIS) NA SHARIFF MUHDHAR KHITAMI 2009 Ndugu zangu hawa masharifu wawili wote wanatoka katika koo kubwa na maarufu mjini...
2 Reactions
0 Replies
345 Views
Jaman naomba Msaada kwa anaejua vizuri chimbuko la haya mataifa vizazi na vizazi pia yupi mwenyehaki pale.
0 Reactions
5 Replies
489 Views
KUMBUKUMBU YA MFUNGO WA RAMADHANI 3: FUTARI YA ALLY SYKES NA NA SINIA LA KUNDE ZA BIBI TITI Binti yangu kaanda meza katuwekea futari. Tumetoka msikitini tukakaa mezani tunafuturu. Kipindi...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
MFUNGO WA RAMADHANI NA SIKUKUU YA EID MBALI NA NYUMBANI Hii mbali na nyumbani nimemwibia gwiji wa fasihi, Shafi Adam Shafi. Adam Shafi ameandika kitabu, ‘’Mbali na Nyumbani.’’ Ukisoma kitabu hiki...
9 Reactions
19 Replies
3K Views
Leo inatimia miaka 40 toka vita vya YOM-KIPPUR kuanza vita hii ilianza tarehe 06-10-1973 nchi za kiarabu zilijipanga vilivyo ili tu kurejesha ardhi zao walizopoteza katika vita vilivyovunja record...
3 Reactions
47 Replies
28K Views
Strong leader. Ujumbe wa Lissu: Wandugu wapendwa. Ninaandika haya nikiwa nyumbani kwangu Dodoma. Najiandaa kwenda mahakamani kwa ajili ya uamuzi wa Mahakama Kuu juu ya kesi ya kutaka kuzuia...
5 Reactions
5 Replies
661 Views
https://youtu.be/NlMzNWph_tE?si=ZEn2izCLvieZG_Th Vijana sasa hivi hawajuia yaliyo tokea miaka 60 iliyopita. Namshukuru Mungu, mimi nilishuhudia hata kama ni kiduchu na nilikuwa mdogo sana...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
A question about possible remote folklore memories of Masudi's "Zanj empire" in present Tanzania. Dear forum visitors and participants! First of all please excuse me for using English - I'm not...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
KUMBUKUKUMBU YA RAMADHANI 6 Nimeona nieleza na mengine katika haya pamoja na kumbukumbu za Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Sala ya Eid Kubwa Maputo, 1990 Kuhitimisha nakurudisheni Maputo...
4 Reactions
0 Replies
303 Views
KUMBUKUMBU YA RAMADHANI 5 MFUNGO WA RAMADHANI MUSCAT 1999, SALA YA EID NDOGO TILBURY 1992, SALA YA EID KUBWA TILBURY PORT 1992 NA SALA YA EID KUBWA REGENT PARK MOSQUE LONDON 1993 Muscat, Oman...
4 Reactions
2 Replies
375 Views
Mwishoni mwa miaka ya 1980, Benki Kuu ya Tanzania ilitoa noti ya Shilingi Mia Mbili. Noti hii maarufu upande wake mmoja ulikuwa na picha ya wavuvi wawili wakiwa wamebeba samaki mkubwa wakiwa...
54 Reactions
70 Replies
7K Views
BRONX FAMILY - MAMBO YOTE. "Huu ni mwanzo wa chimbuko wa Hip Hop ya Bongo walikuwepo Gwm, niggers 2 public na k wa kwanzania , Mic walishika wakiwa ma mc wenye vipaji ingawa kuna wengi walipinga...
0 Reactions
3 Replies
535 Views
KUMBUKUMBU YA RAMADHANI 4 FUNGA YA ZIMBABWE 1993 Nimefunga Ramadhani Harare, mwaka wa 1993. Naikumbuka safari hii vyema sana. Nimepanda ndege ya alfajir ATC kuelekea Harare. Uwanja wa ndege...
0 Reactions
4 Replies
386 Views
Angalia hapo juu picha ya Bi. Mwamtoro bint Chuma mama yake Sheikh Haidar Mwinyimvua. Picha hii inamwonyesha Bi. Mwamtoro bint Chuma akipiga kura Uchaguzi Mkuu wa 1970. Bila ya shaka yoyote...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
KUMBUKUMBU YA RAMADHANI 2 MFUNGO WA RAMADHANI NA SIKUKUU YA EID MBALI NA NYUMBANI NA KWINGI DUNIANI Mombasa, Kenya 1990s Hii mbali na nyumbani nimemwibia gwiji wa fasihi, Shafi Adam Shafi...
4 Reactions
0 Replies
563 Views
Kitaaluma. Ukisoma peopling of East Africa utajua kuwa sisi ni Cushite. Ukisoma Itandala (1997) katika kitabu chake East Africa and its Invaders anasema, Afrika kuna makabila 3. Negros, Hamites...
7 Reactions
22 Replies
15K Views
MAJINA YA ALI (ALLY) KATIKA HISTORIA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Katika vibao hivyo vitatu kimoja kimekosekana. Kimesosekana kibao cha Ali Masham wa Magomeni Mapipa. Ali Masham alifungua...
1 Reactions
8 Replies
804 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jaji Mkuu, Majaji, Mawakili na Mahakimu wote Ukweli kuhusu umiliki wa viwanja 32/77 Somali Street na 17/56 Mtaa Mchikichi Kariakoo Dar es Salaam. Mimi...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari Ya asubuhi Leo Ya tarehe 11/03/2024 Nawaletea Ufunuo huu WanaJF twende Na Mimi ili mpate mambo mzuri WILLIAM TYNDALE,MTU ALIYECHOMWA MOTO NA KANISA KWA KOSA LA KUTAFASIRI NA KUCHAPISHA...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Habara wana JF, naamini mmetuliza akili Kwa kusoma uzi mrefu sina muda wa kupoteza hadi sasa naomba mniazime dakika 3 za kusoma uzi huu Kabla sijaelezea kuhusu mwanzo wa taifa la Israel pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…