Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

SIKU NILIPOKUTANA NA SALIM HIMIDI Hii makala ni taazia niliyomwandikia rafiki na ndugu yangu Salim Himidi alipofariki Paris. Mtu aliyenijulisha kwa Salim Himidi ni Mohamed Mshangama. Nimeipata...
2 Reactions
5 Replies
733 Views
MAPINDUZI YA ZANZIBAR NA WAPIGA VIBOKO WA SOKO LA KASA PEMBA Sijapata kukutana na Mzanzibari nje ya Tanzania asiwe na historia ya mateso yaliyoifika familia yake au watu anaowafahamu baada ya...
2 Reactions
3 Replies
490 Views
Wakati wa Ujenzi wa Reli ya TAZARA zaidi ya Wafanyakazi 160 walifariki kwa ajali na magonjwa, kati yao Wachina walikuwa 64. Ujenzi ulihusisha Vibarua na Wahandisi 38,000 kutoka Tanzania na Zambia...
7 Reactions
10 Replies
2K Views
Na Ahmed Rajab SIKU hasa siikumbuki. Lakini mwezi na mwaka naukumbuka. Na siku zenyewe kwa jumla ninazikumbuka. Zilikuwa siku za Morogoro Jazz Band na Mbaraka Mwinshehe. Simba Wanyika hawakuwa...
10 Reactions
62 Replies
5K Views
Katika hali isiyo ya kawaida Jeshi la Marekani lilipata pigo la mwaka ndani ya ardhi ya Iraq baada ya mmoja wa watu muhimu sana ndani ya Jeshi lake kuuwawa ktk tukio ambalo lilifanya USA...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Jere Van Dyk alikamatwa na kushikiliwa na kundi la Taliban kwa siku 45 katika eneo lisilo la mtu kati ya Afghanistan na Pakistan, ambapo alikabiliwa na hukumu ya kunyongwa. Kadiri matukio ya...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Leo katika pita pita zangu za kusoma vitabu, nakutana na historia iliyojaa maajabu, vichekesho, hatamu na mafunzo. Historia ambayo iligusa moyo wangu na kuamua kuiandika angalau wengi wao...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
SHEIKH JUMA MWINDADI Imenichukua miaka mingi kuitafuta picha ya Sheikh Juma Mwindadi. Hatimae picha ya Sheikh Jjuma Mwindadi nimeipata kutoka kwa familia yake. NImefahamishwa kuwa ingawa watu...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakati ndugu zetu wa Msumbiji wakimkumbuka Mmoja wa viongozi mashuhuri Kamarade Samora Machel, baada ndege aliyopanda pamoja na abiria wengine 34 ilipotunguliwa katika milima ya jimbo la...
10 Reactions
104 Replies
29K Views
DOLA YA MRIMA (KILWA): ILIOKUWA TAIFA KUU AFRIKA KARNE YA KUMI (1070 A.D) Na. Comred Mbwana Allyamtu Sunday -7/9/2016 Kilwa Masoko, Kilwa - Lindi, Tanzania. Mji wa Kilwa ni mji maarufu sana...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Kama kuhamisha kabila toka kwenye asili yao kuwapeleka sehemu isiyo asili yao ni jambo linalowezekana je, katika muktadha huo na mantiki hiyo unaweza kuwahamisha Wazanaki toka Butiama kuwapeleka...
0 Reactions
2 Replies
679 Views
Jumatano ya Desemba 13, 2012 ilikuwa ni siku ya majonzi kwa wapenzi wa muziki wa dansi hapa Tanzania, Afrika ya Mashariki na ulimwenguni kwa ujumla. Siku hiyo ilikuwa ni miaka miwili kamili toka...
9 Reactions
15 Replies
4K Views
PICHA HII INAWEZA KUKUTOA MACHOZI Dr. Salmin Amour aliyekuwa Rais wa Zanzibar alipotembelewa na Dr. Hussein Mwinyi nyumbani kwake. Dr. Salmin kanyanyua mikono anamwelekea Allah kwa dua na dua...
25 Reactions
85 Replies
18K Views
Ni Vema kujua historia yetu Kwa Wale ambao wamelipigania Taifa letu Katika kupata Uhuru
0 Reactions
1 Replies
243 Views
Suala ukombozi wa bara la Afrika kutoka kwenye mikono ya wakoloni na ukoloni mambo leo baaada ya ukoloni halisi halikuwa kazi rahisi lilihitaji mchango wa jasho na damu kutoka kwa kila kundikatika...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga. Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini...
18 Reactions
111 Replies
20K Views
UKARIMU WA WATU WA PEMBA Wenyeji wangu wananitembeza kila sehemu Pemba. Ndani ya gari yetu kumetiwa maji ya kunywa, majamvi na viti vya kukunja ikiwa vitahitajika. Maji ya kunywa kuchukuliwa...
0 Reactions
4 Replies
962 Views
Habari zenu wanaJF, natumai hamjambo na kila mtu yupo zake vema katika kupambania kombe. Leo kama mada inavyosema nilitaka nipate zaidi ya nikijuacho ikiwezekana nifute nilichonacho au niongezee...
11 Reactions
102 Replies
7K Views
Kilwa Kisiwani ni jina la kijiji kikubwa kwenye Kisiwa cha Kilwa karibu na mji wa Kilwa Masoko katika Mkoa wa Lindi, Tanzania. Ndipo mahali pa mji wa Kilwa ya kihistoria iliyokuwa mji mkubwa...
4 Reactions
37 Replies
19K Views
DOLA YA MRIMA (KILWA) ILIOKUWA TAIFA KUU AFRIKA KARNE YA KUMI (1070 A.D) NA: COMRED MBWANA ALLYAMTU. Mjii wa Kilwa ni mji maarufu sana barani afrika kwa sifa zake sio kwamba kwa sababu ya jina...
4 Reactions
45 Replies
12K Views
Back
Top Bottom