Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Ni Maj.Gen.Benjamin "Ben" Msuya wakati huo akiwa na cheo cha Lt.Col. Ndiye aliyeongoza kikosi vya JWTZ kilichotwaa jiji la Kampala. Huyu ndiye aliyelazimika kulidhibiti jiji la Kampala na Ikulu...
24 Reactions
65 Replies
18K Views
Weekend Kareem wapenzi wa JamiiForums popote mlipo. Naamini mu wazima wa siha muruwa kabisa huku mkifanya tathmini ya kile mlichokifanya kwa juma zima hili. Leo nimeleta kwenu swali juu ya Idd...
9 Reactions
137 Replies
8K Views
Picha hiyo hapo chini kaniletea ndugu yangu na kaniandikia maneno haya: "Picha adimu hiyo nimekutunuku, iandikie habari." Kulia ni Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Dr. Salim Ahmed...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
NYARAKA ZA NANGWANDA LAWI SIJAONA MOJA YA VIELELEZO MUHIMU VYA HISTORIA YA TAA NA TANU Kwa muda mrefu nimekuwa nikipokea kutoka kwa mtoto wa Lawi Sijaona, Sijali Sijaona, nyaraka moja baada ya...
0 Reactions
3 Replies
812 Views
Miaka ya 1800's walikuwepo ndugu wawili kwa Majina ya KEMPANJU NA KASSA, huko mkoani Kagera wilaya ya Bukoba( Misenyi kwa sasa). Imenichukua mwendo wa lisaa kutoka Bukoba mjini mpaka kata ya...
6 Reactions
37 Replies
11K Views
MIMI, SAL DAVIS NA KITABU CHETU Kwa mara ya kwanza hiki ndicho kitabu changu kilichochapwa na Amazon. Amazon sifa zao hazihitaji kuelezwa na mimi. Walianza na uuzaji wa vitabu na kukufikishia...
2 Reactions
0 Replies
534 Views
Picha hiyo hapo chini kaniletea ndugu yangu na kaniandikia maneno haya: "Picha adimu hiyo nimekutunuku, iandikie habari." Kulia ni Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Dr. Salim Ahmed...
0 Reactions
1 Replies
676 Views
KAVAZI LA DR. SALIM: JENERALI ULIMWENGU, GAZETI LA RAI NA UGOMBEA WA SALIM UCHAGUZI WA 1995 Katika Kavazi la Dr. Salim anaeleza simu aliyopigiwa na Jenerali Ulimwengu tarehe 29 March 1995 na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna story ya kweli ila imebaki kumbukumbu kama picha niliyoweka hapo chini. Kwa historia fupi kama mtakuwa na kumbukumbu vita ya Vietnam miaka Nov 1, 1955 – Apr 30, 1975. yenye sababu nyingi...
2 Reactions
1 Replies
525 Views
JARIDA LA AFRICA EVENTS KUTOKA MAKTABA LIPO KATIKA KAVAZI LA DR. SALIM AHMED SALIM Hiki kisa nimepata kukieleza siku za nyuma na hivi karibuni nilipokuwa naandika kuhusu uzinduzi wa Kavazi la Dr...
3 Reactions
3 Replies
824 Views
Comrade Ali Sultan Issa Al-Ismaily, who passed away on January 3, 2022, three months shy of his 90th birthday, was iconic, if controversial, figure in Zanzibari politics. The fact that his death...
3 Reactions
40 Replies
5K Views
MUHIMU WA KUWA NA HISTORIA YA KWELI YA UHURU WA TANGANYIKA Kaandika aliyeandika: "Lakini bado katika kuunganisha vugu vugu la ukombozi, utapungukiwa sana maarifa ukishindwa kujua Mwl. Nyerere...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Read this very carefully guys and take a close look at yourself and the environment that you live in today Botha speech 1985 THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W...
14 Reactions
638 Replies
93K Views
Katika ulimwengu huu na kazi nzuri zilizokuwemo mule kama action, mapenzi, vichekesho, wangeshirikiana na watengeneza katuni wa kimataifa mbona wangekuwa mabilionea. Taarifa nilizonazo Masoud...
3 Reactions
85 Replies
19K Views
Nimesoma kuhusu kavazi la Dr. Salim Ahmed Salim. Hakika ni jambo kubwa sana kwetu na nadhani yeye ni wa kwanza kufanya kitu hiki. Mimi nilibahatika kukutana na Dr. Salim nyumbani kwake kwa...
2 Reactions
1 Replies
896 Views
Waandaaji wa kongamano Kituo cha Tarekhe ya Uislam na Wanavyuoni wa Afrika Mashariki na Maahad Juneyd Islamy Zanzibar waliwaalika wanahistoria kujadili ni lini Uliingia Uislam Pwani ya Afrika...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kujua kuhusu daraja la Salender ambalo liko jijini Dar es Salaam 1. Lilijengwa mwaka gani. 2. Mkandarasi / engineer aliyelijenga daraja hilo. 3. Na ni nani aliyesimama ujenzi...
12 Reactions
77 Replies
27K Views
Tafiti ndogo tu, yangu binafsi na isiyo na shaka kabisa niliyoifanya kuhusu jina la jiji letu kuu "Dar Es Salaam" na jina la soko letu kuu "Kariakoo" ninaihitimisha kwa ufupi (summary) hapa chini...
22 Reactions
107 Replies
14K Views
OFISI YA TANU ILIVYOKUWA MIAKA YA 1960 Kuna mtu kaniletea picha hii ya ofisi ya TANU kama ilivyokuwa katika miaka ya 1960. Pamoja na picha hiki kaniandikia ujumbe ananambia kuwa picha hii...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
NIMEFUKUZWA TENA BAADA ya kuweka video hii ya TBC nikatolewa kundini: https://youtu.be/-bwoz3jI7RA?si=rJdx_0PlMIHxm4Wm Nilikuwa kwenye group moja nikafukuzwa naamini wengi mlisoma makala ile...
35 Reactions
164 Replies
8K Views
Back
Top Bottom