Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Mwaka Ule wa Vita ya Kagera majeshi yetu yalivyoingia ndani ya Uganda lengo lilikuwa Moja tu kumsaka Nduli Idd Amin na Siyo kuua Wanawake na Watoto wa Uganda wasio na hatia Mungu wa mbinguni...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Nipo naendelea Kusoma Kitabu cha Maisha ya Rais niliyemkubali sana Mpendwa Wetu mzee Mwinyi Ruksa Mwinyi alipelekwa Zanzibar kujifunza Dini ya Kiislamu na akiwa huko Mungu wa mbinguni akambariki...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
WANASEMA KWA KEJELI ATI NAJITIA KUJUA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA Vitabu hivi vingekeuwa vimeandikwa miaka mingi sana na waandishi na kuwa sehemu ya historia ya uhuru wa Tanganyika. Kwa nini...
9 Reactions
59 Replies
2K Views
SPOKES MASHIANE, MILLIE SMALL NA MIMI MAPEMA1960s Dr. Harith Ghassany kaja Tanga kufanya utafiti wake wa mapinduzi ya Zanzibar. Baada ya utafiti huu akaandika kitabu maarufu, ''Kwaheri Ukoloni...
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Nimefika Chuo Kikuu Cha Iowa, Iowa City nyakati za mchana nikitokea Detroit ambako ndiko nilikoingia Marekani nikitokea Amsterdam. Kutoka Detroit nimepanda ndege ndogo hadi Iowa City na hapo...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Hakuna mji wowote duniani ambao umekuwa ni mji wenye umuhimu sana kwa watu wengi kama ulivyo mji wa Jerusalem. Mji wa Jerusalem ni mji ambao una umuhimu kwa Wayahudi, Wakristo na Waislamu. Mji wa...
3 Reactions
10 Replies
7K Views
Azimio la Balfour lilikuwa ni taarifa ya umma iliyotolewa na serikali ya Uingereza mwaka 1917 wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia ikitangaza kuunga mkono harakati za Shirika la Kizayuni kuanzishwa...
1 Reactions
0 Replies
455 Views
Makonda is loading........
0 Reactions
2 Replies
568 Views
Video hii hapo chini inaonyesha namna mtoto mweusi mwenye miaka 14 kwa jina George Stinney alivyo nyongwa. Mtoto huyu alinyongwa mnamo mwaka 1944 huko South Carolina...
9 Reactions
189 Replies
57K Views
Chama cha All Muslims of Tanganyika, ambao wengi wao walikuwa waasisi wa chama cha TAA, August 1959 walianzisha harakati kushinikiza uhuru ucheleweshwe hadi kiwango cha waislamu kupata elimu...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Picha za Sheikh Suleiman Takadir Wakati Anapigania Uhuru wa Tanganyika (1954 - 1958) Kulia: Bibi Titi Mohamed, Clement Mohamed Mtamila, Sheikh Suleiman Takadir, Julius Nyerere katika moja ya...
3 Reactions
3 Replies
715 Views
JF imekuwa ni mahali pa kupashana habari na kuweza pia kuzungumzia mambo ya historia yetu na mwelekeo wa nchi. Kuna Huyu bwana anajulikana kama marehemu Dr Kleruu, mie nimekuwa nikimsikia katika...
13 Reactions
498 Replies
169K Views
John Iliffe amepata kusema kuwa historia ya TANU nyingi iko katika mikono ya watu. Hakika maneno haya ni ya kweli wala hayana shaka. Nimepokea nyaraka nyingi na picha kutoka kwa watu zinazohusu...
1 Reactions
3 Replies
873 Views
Jamii ya Ninja ilikuwepo Japan tangu mwanzo wa karne ya 11 katika maeneo ya Koga na Iga, lakini umaarufu wao uliongezeka wakati wa migogoro na vita vya Japan katika karne ya 15. Jamii hii...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
NAMI NATUNUKU PICHA KUSHUKURU Nimemwandikia ndugu yangu aliyenitunuku picha adimu: "Nami nakupa picha adimu na nyongeza kidogo kukushukuru kwa hidaya uliyonipa. Katika picha uliyonitunuku yupo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
KAMARA KUSUPA: PENYE UONGO UKWELI UTATAFUTWA Kitabu cha Abdul Sykes. Ukweli ni kuwa katika vitabu vyote vilivyoandikwa kuhusu historia ya TANU hakuna hata kitabu kimoja unachoweza kufananisha na...
2 Reactions
0 Replies
515 Views
Toka nikiwa mdogo katika vita ambavyo masikio yangu yamesikia kwa muda mrefu ni vita vya Israel na Palestina. Sina hakika lakini nadhani ni vita ambayo inapigana mara kwa mara. Kipindi kile hakuna...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
KAMARA KUSUPA NA DINI ZA KIGENI NA DINI ZA ASILI Kuna maneno ukiyasoma sharti uingie hofu. Dini za Kigeni. Dini za Asili. Kutoka kwa Mchungaji. Uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa chini ya msaada...
0 Reactions
4 Replies
657 Views
Ilitokea huko Ufaransa, wakati wa utawala wa Louis XIV, huyu baba alihukumiwa kufia gerezani kwa njaa kosa lake aliiba mkate. Mtoto wake akiyekua ananyonyesha alikwenda kumtembelea baba yake kila...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari Wana jamii forum, ningependa kujua kuhusu hawa watu je sio matapeli? Kwa hapa Kibaha maili moja wapo ukumbi unaitwa mwitongo, kwakweli Wana wanafunzi wengi mno haswa kutoka mikoa jirani...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom