Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Kumekuwa na mkanganyiko mkubwa kuhusu ukweli kuhusu Israel. Wengi wakidai waisrael wa leo siyo OG ni kikundi cha watu tu waliamua kuja kufanya makazi kwenye ardhi ya wa-Palestine kwa lazima...
1 Reactions
79 Replies
3K Views
Maktaba ilibahatika kutembelewa na Mkutubi Festo Liheta kutoka National Archives Dodoma. Kusudia la safari yake ilikuwa kupata nyaraka. Tulifanya mazungumzo mafupi: https://youtu.be/wO86ftnPSa4
0 Reactions
1 Replies
530 Views
𝐋𝐞𝐨 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐡𝐢𝐬𝐭𝐨𝐫𝐢𝐚. 𝐌𝐳𝐞𝐞 𝐓𝐢𝐛𝐚𝐤𝐰𝐞𝐢𝐭𝐢𝐫𝐚 𝐚𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐡𝐞𝐚𝐝𝐦𝐚𝐬𝐭𝐞𝐫 S𝐚𝐦𝐞 Sec 𝐦𝐭𝐨𝐭𝐨 𝐰𝐚 𝐑𝐚𝐢𝐬 𝐍𝐲𝐞𝐫𝐞𝐫𝐞 𝐚𝐥𝐢𝐤𝐨𝐬𝐚 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐫𝐮𝐝𝐢𝐬𝐡𝐰𝐚 nyumbani 𝐚𝐦𝐥𝐞𝐭𝐞 𝐦𝐳𝐚𝐳𝐢 𝐰𝐚𝐤𝐞. 𝐌𝐭𝐨𝐭𝐨 𝐚𝐤𝐚𝐦𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐃𝐂. M𝐳𝐞𝐞 𝐓𝐢𝐛𝐚 𝐚𝐤𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐃𝐂 𝐬𝐢𝐨 𝐛𝐚𝐛𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐞...
9 Reactions
22 Replies
3K Views
Uvumbuzi mwingine mzuri kutoka miaka ya 1900 ulikuwa kamera ya bastola. Iliundwa kwa kamera ndogo iliyounganishwa kwenye pipa la bastola ya Colt .38. Wakati trigger ilipovutwa, bunduki na kamera...
2 Reactions
0 Replies
423 Views
Heshima kwenu, Katika kitabu cha Biblia, Mwanzo35:10"Mungu akamwambia, jina lako ni Yakobo; hutaitwa tena Yakobo lakini Israeli litakuwa jina lako.Akamwita jina lake Israel". Naomba kueleweshwa...
0 Reactions
2 Replies
608 Views
HISTORIA YA SHEIKH SULEIMAN TAKADIR KAMA NILIVYOIPOKEA KUTOKA KWA SHEIKH HAIDAR MWIMYIMVUA Baada ya zaidi ya miaka 60 leo Sheikh Suleiman Takadir anatajwa. Lakini imekuwaje atajwe ilhali Sheikh...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
"Hadi asuswe na Waislamu wenzake, wana TANU na wananchi wote, bali lilikuwapo tatizo kubwa. Hii haiwezekani ikatokea tu kama bahati mbaya, hapana." (Kaniuliza Muulizaji) MOHAMED SAID ANAJIBU...
1 Reactions
6 Replies
754 Views
Kuna historia inayotia mashaka kuhusu imani ya kiyahudi katika Tanzania. Shaka hiyo inaendana na matukio yanayoendelea ndani ya nchi na katika uwanda wa kimataifa. Kwa mujibu wa historia hiyo ni...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Wana Jamvi, Anayefahamu picha hiyo ilipigwa wapi, lini, kwenye tukio gani, wahusika ni akina nani anisaidie ufafanuzi. ==Okoa Bandari==
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakati wazungu wanagawana bara la Afrika, walipokuja walikuta baadhi ya maeneo kuna tawala zenye nguvu, zilizokua na mfumo rasmi wa uongozi. Mojawapo ya tawala ilikuwa ni dola ya wachagga (Chagga...
18 Reactions
58 Replies
5K Views
Nyarugusu, Tanzania Source : Tanganyika TV VITA VYA DUNIA HISTORIA YA MBAVU MOYA April 14, 2020 SHUJAA TOKA TARAFANI FIZI Wakati huu wa kumbukumbu la Vita vya Kwanza vya Dunia (Première...
6 Reactions
27 Replies
13K Views
BARUA YA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA MKOA WA DAR ES SALAAM NA HISTORIA YA UTUMWA Barua hiyo hapo chini inajieleza inakotoka na kichwa cha habari ndiyo hicho. Wanafunzi watakuwa na safari ya...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
HUSSEIN SHEBE NA HAILE SELASSIE Kipande hicho hapo chini kipo hapa tayari katika makala nyingine. Hata hivyo nimetamani nikiweke kipande hiki hapo chini kijitegemee na sababu ni mapenzi...
3 Reactions
2 Replies
994 Views
KUMBUKUMBU ZA TEWA SAID TEWA RAIS WA EAMWS TANZANIA ''Tewa, kesho tunakwenda kumpa huyu mtu, Nyerere, mamlaka ya kuendesha nchi hii. Kuanzia hapo, mara tu tutakapomchagua kutuongoza hakuna namna...
0 Reactions
0 Replies
622 Views
BI. TITI HATUTACHOKA KUMTAJA Antar Sangali ana mapenzi makubwa na marehemu Bi. Titi Mohamed kila apatapo fursa humzuru na kumuombea dua. Nimepokea picha na mengi kuhusu Bi. Titi kutoka kwake...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
KITABU CHA ABDUL SYKES KATIKA PDF Kitabu hiki kilichochapwa na Minerva Press London 1998 sasa kipo katika pdf. Nimeshindwa kupata link lakini nimewatumia watu wengi katika Whatsapp peaneni humo...
4 Reactions
50 Replies
5K Views
Alichokisema Socrates kuhusu demokrasia zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Alisema kuwa demokrasia lazima ianguke kwa sababu itajaribu kurekebisha kila mtu. Masikini watataka utajiri wa matajiri, na...
5 Reactions
5 Replies
639 Views
Picha hiyo huyo ni Ilyas Abdulwahid Sykes. Jina la utani udogoni tukimwita "Jaluo." Kanitembelea nyumbani kwangu na hapa namwonesha Maktaba iliyohifadhi historia ya baba yake marehemu Abdulwahid...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Huyu ndiye ASKARI ambaye sanamu yake iliwekwa pale SAMORA AVENUE ROUNDABOUT -ASKARI MONUMENT. Inasemekana hapo ndio muda aliokuwa amepozi kwa ajili ya kutengenezwa sanamu, kwa jina aliitwa MKAVILONDO.
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Hii ni mojawapo ya filamu za bei ghali zaidi za filamu zisizo na sauti za wakati wote. Video hii ya upigaji picha kutoka kwa Buster Keaton "The General" (1926) iligharimu $42,000 (sawa na...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Back
Top Bottom