1>kila mmoja anajua,shida tulizozipata.
Tuliunguzwa na jua,tukafanywa si mabata.
Tena tusijeungua,na misiba tukapata.
Kumi kumi iwe vyema,mabadiliko ni sasa.
2>hutakiwi hutakiwi,mbona...
Salaam nakuta posta ya Tanzania imeanzisha mfumo wa kuipa kila kata na kijiji namba fulani inayoitwa "Post Code" au "Postal Code" kwa Kiingereza.
(tazama hapa...
Fafanu chimbuko na asili ya lugha ya kiswahili na eleza kwa mf;Kabla ya kuja kwa wageni katika upwa wa afrika mashariki ni lugha gani ilikua ikitumika enzi hizo?
Napenda sana kazi udirector wa matangazo. Lakini nashangaa kuna wakurugenzi wengine wanachekesha sana. Hivi unaachaje tangazo linaruka redioni au kwenye TV mtu anatamka Lais badala ya Rais, au...
Caged Bird
The free bird leaps
on the back of the wind
and floats downstream
till the current ends
and dips his wings
in the orange sun rays
and dares to claim the sky.
But a bird that...
1>upo mwingi usafiri,ila huu ni hatari.
Hatari si kama gari,lipasukapo tairi.
Nawaza naufikiri,sitopanda kwa hiyari.
Namwaza huyu farasi,siku nikija mpanda.
2>na ulimi ulikiri,kiri imani...
Hii ni sehemu ya shairi lililoandikwa na Idd Ninga ,shairi linaitwa UTABIRI KUTIMIA
1>picha imeshadhihiri,mwisho wao umefika.
Utatimu utabiri,ule niliouweka.
Yote niliobashiri,yaonekana...
1>rangi yako ya waridi,nzuri kama samawati.
Nikahisi ni zawadi,ilojawa na swifati.
Kumbe siyo maridadi,wewe kama afiriti.
Ua hili ua gani,kila mtu alichuma.
2>vijana hadi watoto,wanapenda...
Ni kweli kwamba sintaksia finyizi imekubalika na wataalam wengi kama nadharia ya ya lugha yenye uwekevu zaidi na bado inaendeleza malengo ya sarufi zalishi. Malengo haya ni kuandaa sarufi bia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.