Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Napata tabu sana ninapoongea na wakenya, haswa wale ninaojua wana elimu hadi ya Chuo kikuu au kidato cha nne. Lakini hawajui lugha kabisaaa, Unasikia SASA? Anamaanisha salaam, au Au unamwambia...
0 Reactions
32 Replies
9K Views
1. Masaa kumi na mbili, toka jua la utosi, Tena upate kandili, sidhani utusitusi, Kiza chake si kalili, nyakati za wasiwasi, Chukua udhu uswali, kwa mola wako Qudusi. Usiku wa manane, ni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kujua jina la muuzaji vitabu kwa Kiswahili, vile vile pia duka la vitabu huitwaje?
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Nilikuwa na mwingereza akanitaka nimtafisirie hilo neno, nilipata taabu sana: - Here Jobs Only...... hakuelewa - Here Works Only ....... hili nalo halikuwa na maana iliyokusudiwa Tafsiri sahihi...
0 Reactions
43 Replies
14K Views
Naomba kwa mwenye kujua, anisaidie. Maziwa fresh kwa neno moja la kiswahili huitwaje? Mfano, maziwa ya mgando ni mtindi. Je yale ambayo hayajagandishwa je?
0 Reactions
57 Replies
19K Views
Wanajamii Salaam!! Ninatafuta kitabu kinachoelezea sifa mbalimbali za wanyama, ndege na reptilia pamoja na picha za viumbe hao. Mfano. Sisi wakati tunakua mzee wetu alikuwa na kamusi ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ifuatayo ni shairi liitwalo MLEVI KUHAMA BAA lililoandikwa na Idd ninga. Tutiririke sote. 1>yapasa kutafakari,ufikiri kimakini. Mtindo usikariri,udadisi akilini. Namba moja si sifuri,hito...
0 Reactions
0 Replies
799 Views
IKULU PANA MNYAMA, SURA KAMA MWANANGU. Nasema nawe kibabu, rafiki yake kileje, Huwezi wajipa tabu, sijui hata ukoje? Kwa chai takuadhibu, siulize nawezaje, Jamii yako ya boflo, chai ni chako...
5 Reactions
50 Replies
8K Views
MUNGU NI PUNGUANI? 100 1. Nimezama fikirani, Kumsaka Punguani, Aliyezua tafrani, Mbinguni na duniani, Nimemjua jamani, Huyo Bwana Punguani. 2. Huyo Bwana Punguani, Kaacha mkewe ndani...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Je! Ni lugha gani nyepesi sana kujifunza, weka pembeni kingereza na kifaransa.
0 Reactions
34 Replies
7K Views
1. Makabwela na wakwasi, tuchunge tulipotoka, Mimi naona utwesi, nachelea kuanguka, Hashituki kwa unyasi, aso gongwa na nyoka, Yu wapi Rais Kikwete, zi wapi ahadi zake. 2. Siku zimeenda...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
HALIKIDHI MAHITAJI,NENO LIKIOTA MENO. 1. Neno limeota meno, limezua tafarani, Siyaoni mapatano, sote vipembe kichwani, Mwana ashikwe mkono, asipotee njiani, Halikidhi mahitaji, neno likiota...
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Samahani, lakini naomba niulize; hivi vitumbua kwa Kiingereza vinaitwaje? Maana daah, kuna dogo hapa wa English Medium kaniuliza nimeshindwa kumjibu.
1 Reactions
40 Replies
21K Views
ivi wadau ajira zake zina mashiko hapa tanzania. nataka kuwa mkaliman nimeapply course moja ya language chuo flan hapa bongo. mnanishauri vip ndugu zanguni. nisome au nipiotezee kama ntaipata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni sehemu ya mfululizo wa mashairi ya IDD NINGA, fuatilia shairi hili na toa maoni yako. JINA LA SHAIRI: Nampenda Kuku Wangu. MTUNZI:Idd Ninga wa Tengeru Arusha. Simu: 0755519736 Kuku ndie...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
1>ya kale siyo ya sasa,dunia ya tetereka. Inayotisha mikasa,ulimwengu weweseka. Imeshamezwa na kasa,mdogo kuliko paka. Hasira za mbingu kali,zaangamiza dunia. 2>yaangamia dunia,wenyewe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hapa azaliwa mama, na bibi alomzaa, Mnaiona milima, kuipanda si mzaa, Hata waliponituma, kupanda nilikataa, Mizimu sasa ilale, tambiko limeshapita. Nimekuja himahima, na moyo ukinipaa, Metoka Dar...
2 Reactions
0 Replies
921 Views
FANYA TAMBIKO LITIMU. Mstahiki Zack​: Siandiki kuwatisha,ila navuta Amani. siwatilii presha,ila yabidi wendani. leo mja kanichosha,aiba mwangu nyumbani. Leo Tambiko Latimu,mahasidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sione nimenyamaza, mwenzio sina furaha, Mambo ulo yatangaza, mie yanipa karaha, Allah aniongoza, ulidhani nitahaha, Waja ndio walewale, hakika hayana budi. Sione nimetulia, moyoni...
3 Reactions
1 Replies
851 Views
Neno limekuwa neno, kiziwi kalisikia, Neno liwe la mfano, tupate kujifunzia, Neno lisiwe ndoano, kooni likanasia, Kuna neno na maneno, kuna neno lenye meno. Kuna maneno machungu, kiasi bubu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom