Maana ya hilo neno kwa kiswahili tafadhali...nimetafuta kwaenye english to English dictionary nikashindwa kupata maana ya moja kwa moja kwa lugha ya kiswahili
CUTE SAYINGS AND PROVERBS
1. To a hammer, everything looks like a nail.
Similarly, every barber thinks you need a haircut, every car dealer thinks you need a car, and every PR agent...
Niko kwenye maandalizi ya project ya kwenda kufundisha wakulima mkoani Lindi juu ya kuongeza thamani ya mazao yao.
Nimeanza kuandaa teaching guide toka kwenye kitabu kimoja cha kiingereza cha...
Mimi ni mwalimu wa lugha ya kifaransa na pia translator / interpretor wa frech language to english and swahili
natafutakazi at ya part time
please assist dear friends
jp
Wadau nimetatizwa na swali jepesi nadhani nimesahau ama sikuwahi kufahamu
Hivi hizi rangi kama Pink; Blue. Silver, Peach, Gray, na nyinginezo zinaitwaje kwa kiswahili?
Niondoleeni aibu...
Kwanza samahani wana jamvi kwa kuweka huu uzi kwenye jukwaa la siasa badala ya lugha.Najua huku ndo wengi wetu tunapenda kutembelea mara kwa mara kwani siasa ndo zinaendesha nchi.
Nimekuwa...
1.
Kwa jina naitwa Mishi, binti mwenye heshima,
Mwenzenu ni mtumishi, nipo ofisi ya umma,
Kama hiyo haitoshi, mwanamke wa kujituma,
Penzi halina kanuni, chunga usije kosea.
2.
Nina gari...
Habari za mihangaiko ya maisha ndugu zangu wana JF?
Tangu hili neno lisemwe kumekuwa na mengi.Naomba kujua maana ya neno lofa na asili yake ni wapi maana nilipokuwa mdogo nililisikia sana na...
Wana JF Hola!! Nimekua nashindwa kutofautisha maneno haya, pengine kuyatumia bila itifaki.
1. Kunyang'anya Vs kupokonya
2.kung'ata Vs kuuma like kuumwa na mbu
3. Kupora Vs kukwapua...
JF cute members Hola!!! ¿Còmo estas?
Please help me out, can anyone amongst you tell me what exactly, below Nigerian proverb depict in our societies?
"he who went to sleep with an...
The Definitions of "Upstream" and "Downstream" in the Production Process by Brian Bass, Demand Media "Upstream" and "downstream" are business terms applicable to the...
Ndugu wadau wa lugha, kuna hili swala la illegal immigrants kuitwa wahamiaji haramu kwa lugha ya Kiswahili.
Nadhani kinyume cha haram ni halali. Kwahiyo dhana ya kuwaita watu hawa haramu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.