Ninaposoma thread mbalimbali hapa JF,baadhi ya michango kwenye thread hizo hutumia msemo ufuatao: "..........umekula maharage ya wapi........."
Ni nini maana ya 'kula maharage ya sehemu fulani?'...
naomba mnisaidie maana ya vidahizo vifuatavyo1.kitivo2.mhanga3.miongo4.tumbua5.nyenyele6.matandu7.matlaba8.sandali9.uzimbezimbe10.kinyenyezi11.prediketa12.esperanto
Hivi vitambulisho vya kupigia kura kwa jina moja vinaitwaje? Maana huku unyamwezini vinaitwa vipalata. Sehemu nyingine vinaitwaje au ndo hivyohivyo? Msaada plz
Natafuta Kamusi ya Kiswahili -
Lingala au Lingala - Kiswahili.
Kwa yeyoye mwenye nayo au
anayefahamu inakopatikana, tafadhali
wasiliana nami:
0784744404 /0713744401
Kuna mtu ambaye anaweza kutafsiri maneno hayo:
"It has been a long time since I have seen you"
"Wow long time no see"
ama kwa kifaransa
"Ca fait longtemps qu'on se voit"
Asante sana...
Tuaangalie Kwa makini stadi Kwa kilinganisha na wakati wetu tunasoma hususani 2000 kurudi nyuma na za watoto wetu au wadogo zetu hata jamaa zetu zinakidhi mahitaj yao Kwa masomo ya mbele na Kwa...
Wakuu hii nimeikuta mahala nikaipenda naona niwawekee hapa jamvini.
MUNGU WETU TUPATIE, RAIS ALIYE SAFI
La mgambo limelia, tutangaze nia zetu
Tuache sasa kulia, tutetee nchi yetu
Wa...
Mombasa ni mji mkongwe wa Afrika ya mashariki wenye sifa na tarekhe ndefu mno. Mji wenyewe ni kisiwa kilichozungukwa na maji pande zote ambacho kina mikondo miwili ya bahari. Mkondo wa kwanza ni...
habari wana JF
Naomba kujuzwa matumizi sahihi ya haya maneno bahati mbaya au bahati nzuri. kuna wakati mwingine watu huyatumia kwa wakati mmoja. je ni sahihi?
karibuni
Mara nyingi nawaskia watangazaji wa Tv au Radio wanapomaliza kipindi au kuaga wakitamka maneno haya (alamsick), sina uhakika wa spelling zake.
Nini maana yake? Na spelling zake ziko vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.