Nimehudhuria sherehe moja ya kipare ya ndoa.
Wakati wa nasaha wakawa eti wanawapa maharusi nasaha kwa kipare. Yaani hata Mkurya atawaelewa wanachozungumza kwani ni kiswahili kitupu, Ndio kusema...
Tanzania ni moja kati ya nchi pekee ambayo watu wanaanza kusalimia kwa kingereza kwenye mitandao harafu ni kiswaili tupu, tena jumbe zao zina vifupisho na maneno yasio fasaha hadi kelo, heti xaxa...
Kutokana na ongezeko la watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini, nimeona mporomoko wa lugha adhimu ya kiswahili,
Tatizo hili la kuporomoka kwa matumizi ya kiswahili stahiki na sahihi katika...
Wabunge wanatwanga maji Bungeni.Lugha ya KISIWANI haitainua Elimu kamwe.kiswahili kina asili ya uvivu na unyonge.linganisha bunge la kenya na tz utaona letu halina ......kiswahili hakihamasishi...
Ni jambo ambalo mwanzo nililiona kwamba ni ufupisho tu wa kuandika ujumbe lakini kwa sasa naona limekuwa tatizo,si ajabu sasa hivi kukuta mtu hajui matumizi sahihi ya herufi 'h' kwamba anaiweka...
Kumekuwa na tetesi kubwa kama kweli kuna kabila la watu waitwao Waswahili au kwa jina lao la jadi (Wangozi).
Wengi wamekuwa wakipinga. Lakini swali langu hili - Je kunaweza tokea lugha bila ya...
Ndugu wanajamii; maneno albinism au albino ni maneno ya Kiingereza ambayo yanalazimishwa kuingingizwa katika Kiswahili wakati kuna maneno ya Kiswahili yanayojitosheleza. Mtu mwenye ulemavu wa...
Kuna haya majina mie huwa yananitatiza mwenye uchambuzi mzuri sio vibaya akanitoa vumbi machoni. Hixi ni nini na utofauti wake ni nini?
1. Avenue
2. Road
3. Street
4. Crescent
5. Drive
6...
Nahitaji mwalimu wa kifaransa atakae nifundisha mimi na mtoto wangu kwa siku za weekend kwa muda wa miezi mitatu. I'm a beginner. Mwenye contacts na mwalimu yeyote wa Kifaransa naomba.
Habari zenu wakuu.
Pamoja na kuhamasika na kazi za waandishi mbalimbali kama vile Kezilahabi, Shaaban Robert, Mohamed Said, Andanenga, Penina Mhando, Haji Gora, Charles Mloka, Theobald Mvungi...
Kwa wale wote wapenzi wa lugha ya Taifa - Kiswahili.Naomba niwaeleze hiki kitu kinachonishangaza
sana.
Rais wa China alipotembelea nchi yetu mwaka 2014 alikaribishwa Ikulu na Rais wetu.Kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.