Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
haya maneno yana maana moja mwasisi , mbunifu,na mgunduzi NA je kama hayana maana moja kila jambo hapo linamana gani? naomba msaada wenu watalam wa kiswahili
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kitambo kabla cjawa baba nilikuwa najua mtu ukimwita jasusi ni jambazi lililoshindikana, baadae tena naanza kujifunza kingereza neno jesus nilikuwa natamka jasusi hapo ndo nilizidi kupagawa lakini...
1 Reactions
18 Replies
15K Views
Eti KUNYA kwa kingereza wanasemaje?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jaman naomben msaada yoyote anaejua hii sentens kwa kingreza anambie "BABA MI NI MTOTO WA NGAP?"
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada wa sentensi hii in english .ELIMU HAINA MWISHO.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wadau naomba maana na asili ya hili neno. Toka nakua ninasikia flani kabebwa na polisi kutumia Tanganyika jeki. Hivi hii Tanganyika Jeki ni nini na ina uhusiano gani na watu wanavyokamatwa, na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Maneno ya Kiswahili, "roho" na "moyo" hutamkwa mara kwa mara katika maisha ya Mswahili. Baadhi ya utumizi wa maneno haya ni "ana roho ya paka", "ana roho ngumu" "ana roho ya korosho" n.k...
0 Reactions
12 Replies
35K Views
HELLO WANAJF MIMI NI MBUNIFU TOVUTI WA KUJITEGEMEA NIMEBUNI TOVUTI YA KUFUNDISHA KISWAHILI KWA NJIA YA MASAFA HII N KW YEYOTE MWENYE WAZO LA KUANZISHA SHULE YA KISWAHILI ITAKAYOCHUKUA...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ningechelewa ningekuta keshaliwa. ebu tuijadili sentesi
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Je unaijua maana ya neno Msasani ambalo ni jina la eneo maarufu jijini ambalo alipata kuishi mwasisi wa taifa hili Mwl JK Nyerere? Jina hili linatokana Mzee maarufu aliyeishi maeneo hayo...
4 Reactions
41 Replies
12K Views
Katu hapandi Farasi, yule mzoea Punda, Mpenda kwenda kasi, mwendo pole humshinda, Amezoweshwa fenesi, doriani lamshinda, Sitokalifisha nafsi, nafanya ninayopenda, Loo! Nina wasiwasi, kwa mambo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Uzandiki.
0 Reactions
2 Replies
14K Views
Wana jamvi naomba kujulishwa maneno ya kiswahili ya Conscious mind na sub- conscious mind
0 Reactions
2 Replies
2K Views
About the successful bid of set vehicle] thing that there is described as "vehicle and a set of other exhibition number" to the Notices will take successful bid fee of 2 cars. When making a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KIUMBE SICHEKE MAMBA. Matatizo mitihani, tumekadiriwa watu, Alo kuwa duniani, kukwepa hatathubutu, Tumwamini Rahmani, tusikengeuke katu, Kutu haitakiwi peponi, chuma tusafishe kutu. Nani aweza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
OOH RABI, NILIDHANI KARANGA, KUMBE MAVI YA MBUZI. 1. Nilidhani ni karanga, kumbe ni mavi ya mbuzi, Sikudhani ni pakanga, katika wangu mchuzi, Kuamini mtu janga, jiandae na mauzi. Kuna mambo ya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya kusahau nywila (password) ya kadi yangu ya kiotomotela (ATM) nikaamua kukaa mgahawani (restaurant) jirani na kilipo kiotomotela (ATM) na kuagiza vibanzi (chips) vikavu na sharubati...
2 Reactions
5 Replies
5K Views
Write this in kiswahil "I is not a bird but it is an aeroplane."
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mat5:17 Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Najaribu kuandika kitabu cha shule ya chekechea (Nursery) Tatizo ni kuwa vitabu vingi hapa ni vya kiingereza. Nahitaji yule aliye na tafsiri ya maneno haya aweze kunisaidia Weather - Jea ni Hali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom