Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nikiwa sehemu fulani nikakutana na neno "GAY" likitumiwa na sentesi ilikuwa hivi "and we'll all feel gay"nikakunja ndita nikasema hivi huyu mzungumzaji amekosea nini au atanataka kutuletea habari...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwanza niwapongeze kwa ushirikiano wenu mnaouonesha katika kusaidiana kwa hilo nawapa kongole. Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa kitanzania na nina uwezo wa kuandika mashairi ya kuhusiana na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF,mara kadhaa nimekutana na huu msemo "kunywa maji ya bendera" ningependa kujua maana yake hasa ni ipi?Ahsanteni.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
nimekuwa na shangazwa na mfumo uliopo tized kwamba kila teknolojia inatungiwa kiswahili chake, tena ni bora kingefuatisha ile lugha ya kigeni la hasha bali kina wanatafuta neno sijui kutoka kabila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama mfuatiliaji mzuri wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania utaungana nami kuwa baadhi ya wabunge wamesahau majukumu yao na kulifanya bunge kama kijiwe cha mabarobaro amboa kwao lugha za(...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NIPENDE HIVI NILIVYO nipende hivi nilivyo sinambie nibadili ili niwe utakavyo,nikuridhi yako hali penda nywele nilonazo,kama nimefunga shungi sinambie nende nazo,saluni kupaka rangi...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Nyerere aliwaita Kenya Manyang'au.Mpaka leo sijui kwa nini. Lakini unaweza kuhisi maana yake ukiona current President wa Kenya(utajiri wa familly) yake. Can you imagine baada ya uhuru,Nyerere...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Ashiki majinuni, Fatma bint Subiani, Nampenda moyoni, sisikii wala sioni, Ameketi kitangani, na chano chake pembeni, Naanza alif, bee, tee, jamani natia kikomo. Kitezo, uvumba, ubani, na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
neno question - tunatamka kweshen badala ya kwes'chen '' consumer - '' konshuma badala ya konsyuma...
4 Reactions
86 Replies
10K Views
{Mmoja wetu punguani, ana matobo kichwani Alipofika duniani, mbingu purukushani Tangu hapo tafrani, amani hapatikani, Amani si amani, anadanganya punguani Filosofa wa Kundavi, Dotto na wengine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Binafsi nimechukizwa na tabia au mwenendo wa TATAKI na BAKITA kuwaaminisha wazungumzaji wa kiswahili hususani wa Tanzania kwamba kila neno la sayansi na tekinolojia lazima lipate kisawe chake kwa...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
SISIMIZI! Si mkubwa kama temba lakini ana udhia Ni mdogo mwenye mambo Kidudu kisosikia Ficha hata kwenye tumbo Ujue ataingi Sisimizi kanishinda Sijui nifiche wapi. Atambalia vitamu Vikali...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu! Nahitaji msaada nikikumbuka enzi zile za hadith machozi yanataka kutoka sis tulio weza kusoma hadith mbalimbali leo hii katika ulimwengu wa sasa hatuoni watunzi mahili kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu! Nahitaji msaada nikikumbuka enzi zile za hadith machozi yanataka kutoka sis tulio weza kusoma hadith mbalimbali leo hii katika ulimwengu wa sasa hatuoni watunzi mahili kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, kwanini tunasikia vizuri sana kingereza cha kwenye movies kuliko mabosi wazungu ofisini??? Yaan kwenye movie, unasikia kila kitu, lakini ukikaa na bosi wa kimarekani ofisini, husikii kile...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndiyo ni hiyo sentensi......."Between the line", nimeona mara nyingi inatafsiriwa kwa Kiswahili kama "Katikati ya Mstari". Je hii ni sawa kwa kuangalia maana halisi ya neno hilo kwa Kiingereza? Au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikisikia kuwa kulikuwa na mjadara kuwa Lugha ya taifa iwe ni kisukuma eti kwa sababu lugha hiyo imekaa vizuri na inamisamiati mingi. Hivi ni kweli?
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kumekuwa na majina yasiyo rasmi na yasiyotambulika na umoja wa mataifa ya nchi mbalimbali ambayo yanatumika kwa wingi hapa nchini. Mfano kama ifuatavyo; 1. Marekani (United States) 2.Uingereza(...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Jaman naomba kuuliza. Et watu wanaposema kuwa "prior preparation prevents poor performance" ni kweli au?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom