Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wapendwa wanajf. Nasikitika kuwatarifu kuwa wajumbe wa mabaraza ya katiba waliochaguliwa wamechaguliwa bila waraka kufuatwa, kwa kuzingatia sifa halisi za waombaji na kama waraka ulivyoagiza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanaJF habar, Naombeni mnisaidie kuna mdogo wangu anamaliza 4m4 mwaka huu. Ndoto zake anataka kufanya kazi benki je nimsaidie vp
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Watanzania, Naomba kufahamishwa 'itikafu' maana yake ni nini? Lengo lake ni nini? Nimeshangazwa na habari hii ya kusikitisha kutoka gazeti la mwananchi la leo. Kama kiongozi wa nchi anasomewa...
0 Reactions
66 Replies
11K Views
Tafakuri Ya Leo.... Unalalamika Taifa Lina Rushwa unasahau ulifundishwa na wanao wanafundishwa shuleni na waalimu wao ELEZA MAANA YA METHALI ZIFUATAZO 1. PENYE UZIA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari, tafadhali naomba mnisaidie maneno mengine ya kiswahili yanayoishiwa na "fo" 1.Kifo 2.fofofo 3. 4. 5. 6. asanteni
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Wadau kila siku najiuliza juu ya huyu mzee serilali yetu inawaenzi vp wazee km hawa, labda wenye ufahamu mdogo huyu mzee na wengine wengi ni magwiji wa kiswahili na ushairi.La kushangaza sijui hio...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Ni juzijuzi hapa ambapo tumeshudia Rais wa China akiongea kwa lugha yake, wakati Rais wetu anaongea Kiingereza. Hotuba hizo zilifaa wananchi wote wazielewe kupitia lugha yao ya Kiswahili. Viongozi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimemsikia mkuu wa wilaya ya muheza bi subira kwenye taarifa ya itv ya saa 2 akizunguzia suala la watu waliovamia msitu. Kwamba serikali yake itakuwa full mass nondo. Hivi maana yake ni nini?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu natumain hamjambo kabisa na mmejiandaa vema na siku kuu ya ester. Kutokana na sabau zisizo zuilika na zisizoelezeka katika ulimwengu wa kuajilia nahitaji kuchukua imejensi livu ili niende...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau, naomba kujua nyama ya mbuzi kwa lugha ya kiingereza inaitwaje?
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Hapa nchini tunalo tatizo la matamshi ya herufi 'l' na 'r'. Yapo majina ya watu- wasanii watangazaji nk. yanayonichanganya sana kwa sababu ya hizo herufi 'l' na 'r'. Nisaidie kwa mfano majina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau msaada wenu tafadhali, huu msemo una maana gani?
1 Reactions
2 Replies
14K Views
Naomba kufahamu kama hili ni neno sahihi na sanifu lakiswahili ama ni tusi na lina athari gani kutamkwa?Watu wengi wamekuwa wakisema hili neno si zuri kulitamka mbele za watu. Nawakilisha.
0 Reactions
45 Replies
25K Views
hi wanajamvi! Ninalengo la kwenda kusoma nje masters degree. Nimekamilisha karibia kila kitu muhim but kunakitu manataka nimeshindwa elewa. Wanataka niattach certificate of language proficient...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Mimi ni mpiga picha ambaye nilipiga picha mpiga picha aliyekuwa akiwa piga picha wapiga picha waliokuwa wanapigana picha, Je mimi niliwapiga picha watu wangapi??.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimekuwa nikitafakari dhana ya wazazi wetu waliyotumia kutoa majina yafuatayo kwa watoto wao nimekosa majibu. Mwana JF ambaye una weza kuwa na Ufahamu huo , naomba msaada. Majina hayo waliyo pewa...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Kiukweli kabisa nimeamini kuwa kila mtu anaweza akawa mwalimu kwa mwenzake na mtu akawa mjinga wa jambo fulani lakini akasita kuuliza.. Kutokana na kwamba kuuliza si ujinga, ujinga ni kuto...
0 Reactions
3 Replies
21K Views
When I was learning English I used to write the new vocabularies I found from different books with their meaning on a piece of paper and start cramming them. This method was not effective since I...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari! Msaada kati ya maneno mawili kati ya kuzini na unzinzi.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…