Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Life is not always gentle-far from it. From time to time, it will handle you disappointment, grief, loss or formidable difficulty, often when least expected. But never forget you can surmount...
1 Reactions
3 Replies
983 Views
Habari wadau,tujibrash kidogo mambo ya possessive case Possessive case A: The case endings for the possessive case. 1.’s is used when singular nouns and...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nimekuwa nikifuatilia lugha ya kiswahili kwa watu wa songea wanapenda sana neno "bwana wewe".Linatumika kiufasaha?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samahanini nimekosa kamusi. NINI MAANA YA KU-flirt....?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
neno mapovu nimekuwa nikiilisoma mara kwa mara humu JF,hasa kwa wachangiaji wengi huwa wakilitumia. mfano usilete mapovu yako hapa!!!! toa mapovu yako hapa!!,n.k. je ,huwa linatumika kwa usahihi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi katika bunge letu mheshimiwa Tundu lisu alitumia neno 'kutongoza wapiga kura', sasa baadhi ya wabunge wa CCM wakamshutumu kwa kutumia neno hilo. Nawaomba wajuzi wa kiswahili kuliweka neno...
2 Reactions
30 Replies
13K Views
Heshima kwenu wakuu.tumekua na mabishano na wenzangu hapa kazini kwa mda mrefu sasa kwani kila mtu amekua akitoa tafsiri yake katika hili. Issue ni hii. Neno mboga tafsiri yake ni ipi?maana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wana jf wataalamu wa lugha nisaidieni tofouti na maana ya maneno haya.. Tundu na tobo.kifungo na kishikizo.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Naombeni msaada kati ya hizi sentensi ipi ipo sahihi. 1. Tuipe mvuto sura. 2. Tuipe sura mvuto.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamii forum naomba tafsiri ya kiswahili sanifu cha neno la kiingereza la pay row. Mn nimeulizwa na staff mate wangu (ni mwingereza tena wa rangi nyeupe) nikapata aibu kutofahamu neno mbadala...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Naomba maoni yenu wanajamvi. Hivi peni na penseli ni maneno fasaha ya (pen) na (pencil)? Kuna neno Kalamu hutumika kumaanisha hivyo vitu viwili. Peni huwa ni kalamu ya wino na penseli ni kalamu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa kiswahili cha neno "JUICE". :high5:
0 Reactions
30 Replies
10K Views
Hello, JF members. Sorry I am not good in English language,I want to know the difference and uses of these two words "WILL" and "SHALL"
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KUKU WA KIENYEJI NA KUKU WA KIZUNGU – INSHA Na. M. M. Mwanakijiji Kuna kuku wa kienyeji na kuku wa kizungu; na katika watu wanaopenda kula kuku basi wapo wanaopenda ladha ya kuku...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Kwa wale mlioangalia kipindi cha NIRVANA EATV, yaani huyu demu hata kama mawazo yake ni kuongea kiingereza ndo aonekane bab' kubwa, nadhani ingekua safi kama angepiga msasa kizungu chake kabla ya...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Katika kusoma magazeti ya kiswahili nimeona waandishi wengi wanapozungumzia vita sentensi huwa mfano:"Vita ya pili ya dunia" badala ya "Vita vya pili vya dunia" sasa wanaForum hebu tufahamishane...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
waungwana tafadhali naomba nijue majina ya vifaa hivi kwa kiswahili 1. projector 2. solar panel 3. TV tuner 4. Allen key 5. UPS 6.sound card
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naomba tafsri maana hawa ndo watendaji wakuu wa serikali yaelekea wazungu walitoa macho kwakutojua wajibu nini!!:dizzy:
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kila nikisikia hii habari huwa natafakari ni kwanini iliitwa hivo na sipati jibu. Sio uhusiano wowote na wala hata ukizingatia jina la kweli la mahala ambapo panafanyiwa uchafu huo haufananii na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna misemo mingi ya kiswahili ambayo tumeipokea kutoka kwa mababu na viongozi wetu wa kitaifa. Misemo mingine imekuwa inatafsiriwa au imekuwa ikileta maana tata. Tujaribu kuitazama kiundani...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom